Biashara ya kuuza wazo la Biashara.

Biashara ya kuuza wazo la Biashara.

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Habari za leo wakuu;

Baada ya kupigwa sana na kuhangaika na watu mpaka level za kimahama kuhusu kuibiwa idea mbali mbali. Sasa nimekuja kwenu wadau kuomba hekima zenu kwa biashara hii ambayo tayari nimeanza kuona matunda yake.

Ni Biashara Ya kuuza wazo la biashara, wazo la kutafuta jina la biashara yako, wazo la kutengeneza logo yako from scratch na pia wazo la namna nzuri ya kuendesha biashara yako kisasa.

Naenda strait to the point ila kabla sijawapa majina matatu ambayo nimeyaweka sokoni na nimesajili hadi nembo kabisa maana tukielewana nakupa full package ili sasa wewe ukapambane nayo na pia tutakuwa tunashirikiana kimkataba mpaka pale utakapo ona sasa inabidi ukae peke yako.

Majina ambayo mpaka sasa yapo sokoni.

1. GUANGZHOU OF TANZANIA

Wazo hili nilipata baada ya kuona watu wengi wanaenda China kwa ajili ya kununua ama kufunga mizigo yao. Sasa asilimia nyingi ni watu wenye vipato vikubwa. Sasa je wafanyabiashara wadogo wadogo ambao mitaji yao sio mikubwa watafanyaje ? Ndio maana hili wazo likaja kwa tufungue wholesale and retail warehouse kubwa kwa ajili ya biashara hii.

NB; Ukifanya partnership na mchina ambaje ana mtaji mkubwa utawin sana. Nimefanya research hakuna mtu amesajili kwa brand name ya GUANGZHOU OF TANZANIA. Ukiiba hii idea haswa jina tutakutana mahakamani.

2. KIRAKA CHA MOTO

Hii idea niliipata kwa fundi baskeli na shue shine nikiwa Mbeya nimeenda kushona kiatu changu ghafla akaja mdada of course alikuwa na wowowo zuri sana. Basi fundi akamshonea kiatu chake then akaondoka kwa mwendo maridadi kabisa. Nikawa nimevutiwa sana na huyo dada, nikamuuliza fundi unamjua huyu, akaniambia kaka huyu dada ni KIRAKA CHA MOTO ana ukimwi na anaambuliza sana watu, So usijaribu hata kumsogelea.

Nilipenda sana hili jina la KIRAKA CHA MOTO.

Hapa nitatoa idea 3 za kiraka cha moto.
1. KIRAKA CHA MOTO SPARES AND CAR ACCESORIES
2. KIRAKA CHA MOTO FUMIGATION
3. KIRAKA CHA MOTO CAR WASH

nyingine mtajazia.

3. IRON DOME

Wengi wetu mbajua maana ya iron dome.

What if ukaanzisha kampuni yako ya ulinzi ukaiita.
1. IRONE DOME SECURITY SERVICES.
2. IIRONE DOME TECHNOLOGIES

Mengine mtajazia jazia.

Nawasilisha:

Kama utataka idea njoo PM, au njoo kabisa ofisini kwangu Ukonga Banana. Ahsante
 
Kazi nzuri lakini, mimi naona kama haiwezekani kuuza mawazo ya biashara kwasababu hayana thamani.

Thamani inatokana na utekelezaji wa hayo mawazo mpaka kufikia kwenye upatikanaji wa faida.

Nadhani ndo maana tunaona zaidi mikopo ikitolewa kuwezesha utekelezaji wa mawazo ya biashara kuliko manunuzi ya hayo mawazo moja kwa moja.

Ninachoona kwako, ni brand consulting, yaani ni kama unasaidia makampuni kutengeneza majina na nembo zao, na kisha kuzitangaza vizuri kwa wateja.
 
Kazi nzuri lakini, mimi naona kama haiwezekani kuuza mawazo ya biashara kwasababu hayana thamani.

Thamani inatokana na utekelezaji wa hayo mawazo mpaka kufikia kwenye upatikanaji wa faida.

Nadhani ndo maana tunaona zaidi mikopo ikitolewa kuwezesha utekelezaji wa mawazo ya biashara kuliko manunuzi ya hayo mawazo moja kwa moja.

Ninachoona kwako, ni brand consulting, yaani ni kama unasaidia makampuni kutengeneza majina na nembo zao, na kisha kuzitangaza vizuri kwa wateja.
Huwa naamini sana watu wa hapa jamiiforum ndio maana mada hi nimeiweka hapa, Nashukuru sana kwa wazo zuri, naomba kulifanyia kazi mpaka pale nitakaosimama kama BRAND CONSULTING
 
Huwa naamini sana watu wa hapa jamiiforum ndio maana mada hi nimeiweka hapa, Nashukuru sana kwa wazo zuri, naomba kulifanyia kazi mpaka pale nitakaosimama kama BRAND CONSULTING
Tusubirie mawazo ya wengine,

Hapa nimekisia zaidi kuliko kuwa na uhakika.
 
Nishaskiaga kwa mfanyabiashara mmoja kuwa wazo la biashara ninkama ushuzi kila mtu anao....
Sda SIo wazo shida ni utekelezaji na mikakati yake....
The graveyard is full of men with ideas
Ahsante sana ndio maana nimekuja kuchota hekima na maarifa hapa kwenu jamiiforum natumaini uzi huu utanikutanisha na watu sahihi kabisa
 
Habari za leo wakuu;

Baada ya kupigwa sana na kuhangaika na watu mpaka level za kimahama kuhusu kuibiwa idea mbali mbali. Sasa nimekuja kwenu wadau kuomba hekima zenu kwa biashara hii ambayo tayari nimeanza kuona matunda yake.

Ni Biashara Ya kuuza wazo la biashara, wazo la kutafuta jina la biashara yako, wazo la kutengeneza logo yako from scratch na pia wazo la namna nzuri ya kuendesha biashara yako kisasa.

Naenda strait to the point ila kabla sijawapa majina matatu ambayo nimeyaweka sokoni na nimesajili hadi nembo kabisa maana tukielewana nakupa full package ili sasa wewe ukapambane nayo na pia tutakuwa tunashirikiana kimkataba mpaka pale utakapo ona sasa inabidi ukae peke yako.

Majina ambayo mpaka sasa yapo sokoni.

1. GUANGZHOU OF TANZANIA

Wazo hili nilipata baada ya kuona watu wengi wanaenda China kwa ajili ya kununua ama kufunga mizigo yao. Sasa asilimia nyingi ni watu wenye vipato vikubwa. Sasa je wafanyabiashara wadogo wadogo ambao mitaji yao sio mikubwa watafanyaje ? Ndio maana hili wazo likaja kwa tufungue wholesale and retail warehouse kubwa kwa ajili ya biashara hii.

NB; Ukifanya partnership na mchina ambaje ana mtaji mkubwa utawin sana. Nimefanya research hakuna mtu amesajili kwa brand name ya GUANGZHOU OF TANZANIA. Ukiiba hii idea haswa jina tutakutana mahakamani.

2. KIRAKA CHA MOTO

Hii idea niliipata kwa fundi baskeli na shue shine nikiwa Mbeya nimeenda kushona kiatu changu ghafla akaja mdada of course alikuwa na wowowo zuri sana. Basi fundi akamshonea kiatu chake then akaondoka kwa mwendo maridadi kabisa. Nikawa nimevutiwa sana na huyo dada, nikamuuliza fundi unamjua huyu, akaniambia kaka huyu dada ni KIRAKA CHA MOTO ana ukimwi na anaambuliza sana watu, So usijaribu hata kumsogelea.

Nilipenda sana hili jina la KIRAKA CHA MOTO.

Hapa nitatoa idea 3 za kiraka cha moto.
1. KIRAKA CHA MOTO SPARES AND CAR ACCESORIES
2. KIRAKA CHA MOTO FUMIGATION
3. KIRAKA CHA MOTO CAR WASH

nyingine mtajazia.

3. IRON DOME

Wengi wetu mbajua maana ya iron dome.

What if ukaanzisha kampuni yako ya ulinzi ukaiita.
1. IRONE DOME SECURITY SERVICES.
2. IIRONE DOME TECHNOLOGIES

Mengine mtajazia jazia.

Nawasilisha:

Kama utataka idea njoo PM, au njoo kabisa ofisini kwangu Ukonga Banana. Ahsante
Mawazo ya biashara huwa hayapatikani kirahisi hivyo Mungu pekee ndio ataweza kukupa Siri za biashara kwa kumtafuta kwa bidii kuwafanyia matendo mema watu wengine
Waganga watoa utajiri pia wanatoa Siri hizo za biashara ila kwa masharti magumu Kuna watu wanamiliki majini yanayowaotesha fursa za kibiashara
 
Habari za leo wakuu;

Baada ya kupigwa sana na kuhangaika na watu mpaka level za kimahama kuhusu kuibiwa idea mbali mbali. Sasa nimekuja kwenu wadau kuomba hekima zenu kwa biashara hii ambayo tayari nimeanza kuona matunda yake.

Ni Biashara Ya kuuza wazo la biashara, wazo la kutafuta jina la biashara yako, wazo la kutengeneza logo yako from scratch na pia wazo la namna nzuri ya kuendesha biashara yako kisasa.

Naenda strait to the point ila kabla sijawapa majina matatu ambayo nimeyaweka sokoni na nimesajili hadi nembo kabisa maana tukielewana nakupa full package ili sasa wewe ukapambane nayo na pia tutakuwa tunashirikiana kimkataba mpaka pale utakapo ona sasa inabidi ukae peke yako.

Majina ambayo mpaka sasa yapo sokoni.

1. GUANGZHOU OF TANZANIA

Wazo hili nilipata baada ya kuona watu wengi wanaenda China kwa ajili ya kununua ama kufunga mizigo yao. Sasa asilimia nyingi ni watu wenye vipato vikubwa. Sasa je wafanyabiashara wadogo wadogo ambao mitaji yao sio mikubwa watafanyaje ? Ndio maana hili wazo likaja kwa tufungue wholesale and retail warehouse kubwa kwa ajili ya biashara hii.

NB; Ukifanya partnership na mchina ambaje ana mtaji mkubwa utawin sana. Nimefanya research hakuna mtu amesajili kwa brand name ya GUANGZHOU OF TANZANIA. Ukiiba hii idea haswa jina tutakutana mahakamani.

2. KIRAKA CHA MOTO

Hii idea niliipata kwa fundi baskeli na shue shine nikiwa Mbeya nimeenda kushona kiatu changu ghafla akaja mdada of course alikuwa na wowowo zuri sana. Basi fundi akamshonea kiatu chake then akaondoka kwa mwendo maridadi kabisa. Nikawa nimevutiwa sana na huyo dada, nikamuuliza fundi unamjua huyu, akaniambia kaka huyu dada ni KIRAKA CHA MOTO ana ukimwi na anaambuliza sana watu, So usijaribu hata kumsogelea.

Nilipenda sana hili jina la KIRAKA CHA MOTO.

Hapa nitatoa idea 3 za kiraka cha moto.
1. KIRAKA CHA MOTO SPARES AND CAR ACCESORIES
2. KIRAKA CHA MOTO FUMIGATION
3. KIRAKA CHA MOTO CAR WASH

nyingine mtajazia.

3. IRON DOME

Wengi wetu mbajua maana ya iron dome.

What if ukaanzisha kampuni yako ya ulinzi ukaiita.
1. IRONE DOME SECURITY SERVICES.
2. IIRONE DOME TECHNOLOGIES

Mengine mtajazia jazia.

Nawasilisha:

Kama utataka idea njoo PM, au njoo kabisa ofisini kwangu Ukonga Banana. Ahsante
Tumia hayo mawazo unufaike wewe kwanza ili uwe roll model kwa wengine
 
nimesoma zaidi ya mara moja ila nilichoelewa hapa ww ni creative wa majina ya biashara tu na sio expart wa biashara either ufanyi biashara kabisa
kwa upande wangu.
 
Tumia hayo mawazo unufaike wewe kwanza ili uwe roll model kwa wengine
Mimi tayari nina kampuni yangu ambayo at least napata hela kidogo, Lakini mada hii pia imewalenga watu ambao tayari wana capital na wanakosa idea ndio maana nimeweka sample ya majina ya biashara lakini pia naandika proposal kwa ajili ya watu ambao wana wawazo lakini wanakosa capital. So hii mada ni mtambuka.
Mfano hiyo GUANGZHOU OF TANZANIA target yake ni kubwa sana yaani assume ule uwekezaji wa mlimani City. Sasa ndio iwe pale na ni bidhaa za bei ya China.
 
nimesoma zaidi ya mara moja ila nilichoelewa hapa ww ni creative wa majina ya biashara tu na sio expart wa biashara either ufanyi biashara kabisa
kwa upande wangu.
Nafanya biashara ila mtaji wangu ni wa kawaida sana ndio maana nikipata wazo sitaki lipotee au mtu kuniibia, nataka uje na capital yako tusaidiane au una wazo mimi naweka creativity niliyopewa na mungu then nakuachia ufanye biashara yako. Mimi nitakusaidia labda zile hatua za mwanzo za kutafuta compliance
 
Nafanya biashara ila mtaji wangu ni wa kawaida sana ndio maana nikipata wazo sitaki lipotee au mtu kuniibia, nataka uje na capital yako tusaidiane au una wazo mimi naweka creativity niliyopewa na mungu then nakuachia ufanye biashara yako. Mimi nitakusaidia labda zile hatua za mwanzo za kutafuta compliance
always idea nzuri huwa haieleweki kirahisi 💪
 
Mm sijaelewa hadi sahivi anahusika na nini hasa 😄 hata majina yenyew yamekaa kiukimwi ukimwi tu
Unaweza ukawa ni mtu mzima watu wanakuona upo okay kumbe ni kilaza tu, soma vizuri hii mada then fungua Pandora box ndio utaelewa. Futa stigma. Kwenye akili yako, ndio maana baadhi ya mada zangu kama huelewi pita kushoto nenda kwenye mada za kula tunda kimasihara.
 
Unaweza ukawa ni mtu mzima watu wanakuona upo okay kumbe ni kilaza tu, soma vizuri hii mada then fungua Pandora box ndio utaelewa. Futa stigma. Kwenye akili yako, ndio maana baadhi ya mada zangu kama huelewi pita kushoto nenda kwenye mada za kula tunda kimasihara.
😄 usipanic bro
 
Mimi tayari nina kampuni yangu ambayo at least napata hela kidogo, Lakini mada hii pia imewalenga watu ambao tayari wana capital na wanakosa idea ndio maana nimeweka sample ya majina ya biashara lakini pia naandika proposal kwa ajili ya watu ambao wana wawazo lakini wanakosa capital. So hii mada ni mtambuka.
Mfano hiyo GUANGZHOU OF TANZANIA target yake ni kubwa sana yaani assume ule uwekezaji wa mlimani City. Sasa ndio iwe pale na ni bidhaa za bei ya China.
pale ilipokuwa ubungo stand kuna kitu kama 'GUANGZHOU OF TANZANIA' kinafanyika, fuatilia.
 
Back
Top Bottom