Biashara ya kuzalisha misumari

Biashara ya kuzalisha misumari

SHIGOTTO

Senior Member
Joined
Sep 4, 2018
Posts
156
Reaction score
282
Wana Jamiiforums habari za kushinda!

Ninawazo la kufungua kiwanda kidogo cha kutengeneza misumari aina zote hapa nchini. Kuna mashina za kawaida nimeziona kwenye mtandao naweza kuzinunua na kufunga kama kiwanda kidogo.

Najaribu kufungua ukurasa mpya wa kuwa mjasiriamali baada ya kuhangaika sana na biashara hizi za kawaida kama vile mazao, mara kuuza mtindi n.k natumaini nitapata mawazo ya aina zote ili nijuwe changamoto zilizopo.

Karibuni kwa ushauri
 
Wana Jamiiforums habari za kushinda!

Ninawazo la kufungua kiwanda kidogo cha kutengeneza misumari aina zote hapa nchini. Kuna mashina za kawaida nimeziona kwenye mtandao naweza kuzinunua na kufunga kama kiwanda kidogo.

Najaribu kufungua ukurasa mpya wa kuwa mjasiriamali baada ya kuhangaika sana na biashara hizi za kawaida kama vile mazao, mara kuuza mtindi n.k natumaini nitapata mawazo ya aina zote ili nijuwe changamoto zilizopo.

Karibuni kwa ushauri
bonge la idea kaka kwenye viwand ndioo kuna elaa huk
 
Wana Jamiiforums habari za kushinda!

Ninawazo la kufungua kiwanda kidogo cha kutengeneza misumari aina zote hapa nchini. Kuna mashina za kawaida nimeziona kwenye mtandao naweza kuzinunua na kufunga kama kiwanda kidogo.

Najaribu kufungua ukurasa mpya wa kuwa mjasiriamali baada ya kuhangaika sana na biashara hizi za kawaida kama vile mazao, mara kuuza mtindi n.k natumaini nitapata mawazo ya aina zote ili nijuwe changamoto zilizopo.

Karibuni kwa ushauri

Usijaribu.

Usijaribu.
 
mjasiriamali
Mjasiriamali ni Nani?

Mjasiriamali ni yule mtu ambae anaweza akamkabidhi Biashara mtu mwingine aiendeshe kisha yeye akakaa pembeni kwa muda wa miaka mitatu kisha akarudi kwenye Biashara yake na kukuta biashara haijafa na imezalisha faida mara dufu na kuzalisha Biashara nyingi nyinginezo, Dangote

Je! Wewe ni mjasiriamali au ni mtu alieamua kujiajiri mwenyewe?
 
Wana Jamiiforums habari za kushinda!

Ninawazo la kufungua kiwanda kidogo cha kutengeneza misumari aina zote hapa nchini. Kuna mashina za kawaida nimeziona kwenye mtandao naweza kuzinunua na kufunga kama kiwanda kidogo.

Najaribu kufungua ukurasa mpya wa kuwa mjasiriamali baada ya kuhangaika sana na biashara hizi za kawaida kama vile mazao, mara kuuza mtindi n.k natumaini nitapata mawazo ya aina zote ili nijuwe changamoto zilizopo.

Karibuni kwa ushauri


Kwanza tembelea madukani ili ujue je hiyo bidhaa inalo soko kiasi gani, pili tembelea watu wenye viwanda vya misumari ili ujue chamgamoto zao zote, hapo ndipo unaweza kutathimini je ukianzisha hiyo biashara itakulipa??.

Viwanda vya misumari vipo Dar.
 
Mjasiriamali ni Nani?

Mjasiriamali ni yule mtu ambae anaweza akamkabidhi Biashara mtu mwingine aiendeshe kisha yeye akakaa pembeni kwa muda wa miaka mitatu kisha akarudi kwenye Biashara yake na kukuta biashara haijafa na imezalisha faida mara dufu na kuzalisha Biashara nyingi nyinginezo, Dangote

Je! Wewe ni mjasiriamali au ni mtu alieamua kujiajiri mwenyewe?
Vyovyote itakavyokuwa lengo kubwa ni kuingia kwenye production
 
Wana Jamiiforums habari za kushinda!

Ninawazo la kufungua kiwanda kidogo cha kutengeneza misumari aina zote hapa nchini. Kuna mashina za kawaida nimeziona kwenye mtandao naweza kuzinunua na kufunga kama kiwanda kidogo.

Najaribu kufungua ukurasa mpya wa kuwa mjasiriamali baada ya kuhangaika sana na biashara hizi za kawaida kama vile mazao, mara kuuza mtindi n.k natumaini nitapata mawazo ya aina zote ili nijuwe changamoto zilizopo.

Karibuni kwa ushauri
Bro. Naomba tushirikiane kwenye hiyo project
 
Kama alivyosema Gilbert A Massawe hapo juu issue ni upatikanaji wa raw materials. Asilimia kubwa utaagiza nje ya nchi.

Kingine kama utapata supplier local kwa asilimia kubwa atakuwa Mhindi maana ndiyo wengi wana viwanda vya chuma ambao wataweza kukuuzia raw materials., sasa ikitokea wao wahindi ndiyo importer wakubwa wa misumari toka nje watakachofanya ni kukucheleweshea materials au kukunyima kabisa siku unahitaji sana ili wauze stock zao.

Kama utategemea raw materials toka nje angalia kama itakulipa maana unaweza tengeneza ukakuta gharama zako hadi uuze ni kubwa kuliko wanaagiza nje.

Vinginevyo kila la heri mkuu.
 
Kama alivyosema Gilbert A Massawe hapo juu issue ni upatikanaji wa raw materials. Asilimia kubwa utaagiza nje ya nchi.

Kingine kama utapata supplier local kwa asilimia kubwa atakuwa Mhindi maana ndiyo wengi wana viwanda vya chuma ambao wataweza kukuuzia raw materials., sasa ikitokea wao wahindi ndiyo importer wakubwa wa misumari toka nje watakachofanya ni kukucheleweshea materials au kukunyima kabisa siku unahitaji sana ili wauze stock zao.

Kama utategemea raw materials toka nje angalia kama itakulipa maana unaweza tengeneza ukakuta gharama zako hadi uuze ni kubwa kuliko wanaagiza nje.

Vinginevyo kila la heri mkuu.
Kweli wanazingua sana kukuuzia...

Mno tena sana uwe makini sana la sivyo uagize nairobi
 
Back
Top Bottom