Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
habari zeu wakuu...mimi ninaomba mnisaidie mawazo na uzoefu weny katika hili.
ninataka kuanzisha biashara ta maji ya makopo (kama dasani au kilimanjaro,uhai n.k) lakini lengo langu ni kwa mikoa ya kusini kwanza.sasa sijajua process ya kuanza nao.....kw kifupi nahitaji wataalam hapa mnipe muongozo kuhusu
1.mtaji unaweza kughalimu tsh ngapi
2.wapi nitatengeneza zile chupaza plastic na gharama zake
3.vifaa au mitambo inayohitajika na jinsi ya upatikanaji.....
ninataka kuanzisha biashara ta maji ya makopo (kama dasani au kilimanjaro,uhai n.k) lakini lengo langu ni kwa mikoa ya kusini kwanza.sasa sijajua process ya kuanza nao.....kw kifupi nahitaji wataalam hapa mnipe muongozo kuhusu
1.mtaji unaweza kughalimu tsh ngapi
2.wapi nitatengeneza zile chupaza plastic na gharama zake
3.vifaa au mitambo inayohitajika na jinsi ya upatikanaji.....