Niongeze volume
Member
- Sep 5, 2019
- 19
- 16
Habari zenu wakuu
Kama kichwa kinavyojieleza’ hivi unahitaji mtaji wa kiasi gani ili kuanza biashara ya chakula? (Catering) ukitoa kodi la pango, I mean vyombo na nafaka
Pia changamoto zake nahitaji kufahamu
Na sehem ipi nzuri kwa dar (yenye unafuu)
Na mchanganuo wake
Asante!
Kama kichwa kinavyojieleza’ hivi unahitaji mtaji wa kiasi gani ili kuanza biashara ya chakula? (Catering) ukitoa kodi la pango, I mean vyombo na nafaka
Pia changamoto zake nahitaji kufahamu
Na sehem ipi nzuri kwa dar (yenye unafuu)
Na mchanganuo wake
Asante!