Habari zenu wakuu
Kama kichwa kinavyojieleza’ hivi unahitaji mtaji wa kiasi gani ili kuanza biashara ya chakula? (Catering) ukitoa kodi la pango, I mean vyombo na nafaka
Pia changamoto zake nahitaji kufahamu
Na sehem ipi nzuri kwa dar (yenye unafuu)
Na mchanganuo wake
Asante!