Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hiiNa km unazo nyengine nitafute ama tuma picha humu na yawe kuanzia gram5...0716121313
Yeah ndizo.za carrote hzo..unazo tani ngapi?
bei yake mbn iko chini mm nna wadosi wako msisiri, Kinondoni wanachukua kwa bei zaidi ya hiyo....muulize tena bei hyo jamaa wa hongkongHizo zinachukuliwa na mtu ninae kilo elf15...ni hela hiyo.na hongkong kilo ni dola50
Nina mawe aina ya sunston. Kwa aliepo Dar au Arusha naomba anijuze bei ya madini hayo kwa Kg. nipo Morogoro[/QUOTE
Unauzaje kwa kilo na uwezo wako ni kiasi gani kwa mwezi? Ili tuingie katika mkataba wa mwaka mmoja kwanza. Naomba majibu yaambatane na picha.
Nna wadosi wananunua hii ya chamkoroma kg 18000Hio ndio bei niliokupa ya uhakika..manake tani moja ni dola 50000 kwa hongkong mbona ni bei mzuri tu