Biashara ya madini aina ya sunston

Biashara ya madini aina ya sunston

G.25

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2013
Posts
1,737
Reaction score
1,891
Nina mawe aina ya sunston. Kwa aliepo Dar au Arusha naomba anijuze bei ya madini hayo kwa Kg. nipo Morogoro
 
Na km unazo nyengine nitafute ama tuma picha humu na yawe kuanzia gram5...0716121313
 

Attachments

  • IMG-20150427-WA0000.jpg
    IMG-20150427-WA0000.jpg
    51.6 KB · Views: 319
Hizo zinachukuliwa na mtu ninae kilo elf15...ni hela hiyo.na hongkong kilo ni dola50
 
Hizo zinachukuliwa na mtu ninae kilo elf15...ni hela hiyo.na hongkong kilo ni dola50
bei yake mbn iko chini mm nna wadosi wako msisiri, Kinondoni wanachukua kwa bei zaidi ya hiyo....muulize tena bei hyo jamaa wa hongkong
 
Hio ndio bei niliokupa ya uhakika..manake tani moja ni dola 50000 kwa hongkong mbona ni bei mzuri tu
 
Nina mawe aina ya sunston. Kwa aliepo Dar au Arusha naomba anijuze bei ya madini hayo kwa Kg. nipo Morogoro[/QUOTE

Unauzaje kwa kilo na uwezo wako ni kiasi gani kwa mwezi? Ili tuingie katika mkataba wa mwaka mmoja kwanza. Naomba majibu yaambatane na picha.
 
Hio ndio bei niliokupa ya uhakika..manake tani moja ni dola 50000 kwa hongkong mbona ni bei mzuri tu
Nna wadosi wananunua hii ya chamkoroma kg 18000
 

Attachments

  • 20150608_055836.jpg
    20150608_055836.jpg
    443.3 KB · Views: 265
bei yake mbn iko chini mm nna wadosi wako msisiri, Kinondoni wanachukua kwa bei zaidi ya hiyo....muulize tena bei hyo jamaa wa hongkong

Msisiri no kinondoni IPI? Wananunua being gani?
 
Back
Top Bottom