Biashara ya Madini na Samaki kwanini lazima utumie Sangoma?

Super H

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2012
Posts
1,070
Reaction score
405
Heshima kwenu wadau wa businesses.
nimekuwa nikiwafuatilia wafanyabishara wa hizi bidhaa za mali za asili kama kama mkaa , mbao , samaki , madini .
wengi niliowadadisi wanatumia uchawi .
kuna mmoja wa madini nishawahi kupanga naye jirani waganga hawaishi kuja kwake.
__kipi unachokijua wewe kwenye hizo businesses?
 
Mkuu sababu ni kwamba kwa Tanzania hii sekta inafanywa na watanzania ambao hawajakwenda shule hivyo wanaona haiwezekani kupata madini bila Albino. Wachimbaji wasomi hasa wawekezaji kutoka ulaya wanatumia mashine za kisasa na wanapata madini, pia wavua samaki kwa kutumia meli za kisasa na kuvua samaki tani kibao. Sasa wakati wenzetu walio endelea wanaangaika kugundua teknoljia za kisasa, sisi huku tunakimbiza albino
 
ni imani namtu inavyomtuma..ukiamin hvyo inakuwa hvyo..kitu chochote kinaformula yake
 
Mwafirika alivumbua uchawi mzungu akagundua tekinologia...
 
Hii kitu ni kweli aisee ila wengi wao ni wale shule ndogo na kutojiamini.
 
Kuhusu madini asee ni kweli. Huwezi chimba madini ukayapata kama wewe si mshirikina.
Niliwahi ishi na hawa wachimba madini zamani kidogo. Wakitaka kujua sehemu gani kuna madini. Huwaga wanawafuata sangoma wale wanaotumia kitabu. Nishawahi lala na sangoma huyo nikamdadisi how it is working kujua sehemu hii ina madini au la.
Akaniambia very interesting story. Kuna kisomo anakisoma. Kisomo hicho ni haram kwani kinaelezea ukweli kwa kitu chochote kilichojificha. Yaani ni hivi. Kisomo hichi kilitumika vitani enzi hizo mtume anahama kutoka makka kwenda madina. baada ya vita kuwa vikali mtume alikwenda akajificha kwenye pango.Basi wale makafiri baada ya kumtafuta kwa muda mrefu bila mafanikio wakakusanya wachawi wote wakuu na kuanza kufanya kisomo hicho.
moja kwa moja kisomo kikawadirect mpaka kwenye pango hilo alojificha mtume. Ila tu wakapumbazwa na buibui alojenga kwenye uwazi wa pango lile na wakaona asineweza jificha pale. Lakini hiyo mistari haidanganyi asee. na ilishalaaniwa kusomwa.
So Sangoma yule akisoma hua anatoa direction sehemu gani madini yapo then uchimbaji huanza fasta then watu wana make money asee maisha haya!
 

hmmmm!!! mkuu nimetishika aisee!

btw, nina mpango wa kuanzisha biashara ya samaki lake victoria..

start up capital inaweza kuwa kiasi gani mkuu?

je kwa mchuuzi mdogo mdogo ukiwa na Tshs 300,OOO inaweza kulipa?
 
hmmmm!!! mkuu nimetishika aisee!

btw, nina mpango wa kuanzisha biashara ya samaki lake victoria..

start up capital inaweza kuwa kiasi gani mkuu?

je kwa mchuuzi mdogo mdogo ukiwa na Tshs 300,OOO inaweza kulipa?

Biashara ya samaki ni nzuri sana na ni mbaya sana,
Hasara ni za kufikia na faida ni za kufikia.
 
Biashara ya samaki ni nzuri sana na ni mbaya sana,
Hasara ni za kufikia na faida ni za kufikia.

mkuu unaweza elezea zaidi?

kwa mazingira ya kiafrika, yan kutokana na kuwa na poor storage facilities pamoja na fishing equipments inaweza kuwa na hasara, je endapo mtu atakuwa na vifaa bora kabisa vya kisasa?
 
Hayana maana yeyote wengi huwa huamin hvyo ila ni upuzi..wanaibiw bure tu namatapel.nimekanao sna machmbon hawana lolote
 
uzuri kwnye machmbo wachmbaji huwa hawajifichi wanasema kabisa nimetok kw mganga na weng wako hvyo but hamna lolote lile
 
Sasa kama bwawa la samaki ni langu,nahitaji sangoma kweli kupeleka samaki sokoni?
 
Sababu wapo wengi wenye imani hizi hata wale ambao hawatumii, wakifanikiwa tu watu wanadhani / wanawazushia wanatumia..., By the way sidhani kama De Beers, Barrick et al..., huwa wanakwenda kwa Sangoma kabla hawajasomba rasilimali zetu
 
uzuri kwnye machmbo wachmbaji huwa hawajifichi wanasema kabisa nimetok kw mganga na weng wako hvyo but hamna lolote lile

GEBA2013 usipuuze mkuu kuna uwezekano haya mambo yakawa kweli!
Jana nilikuwa napiga story na mzee wangu wa shamba kuhusu utaftaji wa mali+madini,tulianzia mbali kwa kumsimlia jinsi navyokomaa kibongobongo kwa ups&downs kibao ilhali wengine wanatekenya kidogo+ushirikina na makafara!
Basi mzee akaniangaliaaa kisha akanipa pole na kufunguka kuwa yeye keshasaidia sana watu hasa kwenye masuala machimbo ya madini, wakafanikiwa lakn hawakurudi kukamilisha mlolongo wa masharti yake ndiyo maana wengi wa wachimbaji huishia kufuja pesa bila kufanya maendeleo.
Akaendelea...
Kwa kuwa wewe umenipa hifadhi basi ntakufanyia maarifa, tafta sehemu yoyote unapohisi kuna madini then uje nikufanyie kitu na nakuahidi ndan ya siku10 lazima upate mali ila sharti ukishauza leta hela tuzizibiti.
 
Last edited by a moderator:
nimekaanao machmbon bt sijaona sucess zao hali km n mbya niwote tu km kupata tunapata wote..ilimradi chmbo iwe nahela
 
nimekaanao machmbon bt sijaona sucess zao hali km n mbya niwote tu km kupata tunapata wote..ilimradi chmbo iwe nahela

Alafu tatizo la waganga huwezi kuwashika uongo, sababu ukikosa atakwambia hukutimiza masharti, ukipata atakwambia ni mimi ndio nimesababisha. Ndio maana hawa waganga wanaendelea kwenye biashara yao ya uganga na sio kwenda kuchimba wenyewe kwa kutumia huo ujuzi wao
 
km chmbo niyamwamba unatoa hapo niwote mtapata labd pawe madin y deposition hapo n gemu yabahat.hapo uchaw unaingizwa
 
hmmmm!!! mkuu nimetishika aisee!

btw, nina mpango wa kuanzisha biashara ya samaki lake victoria..

start up capital inaweza kuwa kiasi gani mkuu?

je kwa mchuuzi mdogo mdogo ukiwa na Tshs 300,OOO inaweza kulipa?

Umejumlisha na hela ya mganga.........?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…