Hassan samaras
Member
- Jun 9, 2017
- 17
- 3
Hello natumai wote ni wazima kabisa na wa afya iliyo bora kabisa,
Jamani mimi nataka nijue haswa biashara ya madini ya dhahabu ni shilingi ngapi kwa gram1?
Na je ukiwa na 3million unaweza kuianza.
Jamani mimi nataka nijue haswa biashara ya madini ya dhahabu ni shilingi ngapi kwa gram1?
Na je ukiwa na 3million unaweza kuianza.