Kuku wa Kabanga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2009 Posts 807 Reaction score 368 Mar 29, 2012 #1 habari wanajamvi,tafadhali mwenye maujuzi na hii business anaweza toa maujuzi hapa,mimi inanivutia.
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 56,205 Reaction score 79,515 Mar 29, 2012 #2 Hii biashara ni risk sana waweza ibiwa hela zote,kanyaboya!
Masikini_Jeuri JF-Expert Member Joined Jan 19, 2010 Posts 6,829 Reaction score 1,303 Mar 29, 2012 #3 Nini hasa kimkuvutia huko labda ujieleze zaidi
Kuku wa Kabanga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2009 Posts 807 Reaction score 368 Mar 29, 2012 Thread starter #4 maskini jeuri Nafikiria kuja kuifanya baadae,kwa sasa najaribu kuijua kupitia watu walio na ufaham nayo.
maskini jeuri Nafikiria kuja kuifanya baadae,kwa sasa najaribu kuijua kupitia watu walio na ufaham nayo.
TaiJike JF-Expert Member Joined Dec 14, 2011 Posts 1,482 Reaction score 668 Mar 30, 2012 #5 Don Kamanga said: maskini jeuri Nafikiria kuja kuifanya baadae,kwa sasa najaribu kuijua kupitia watu walio na ufaham nayo. Click to expand... Madini yako ya aina tofauti na yanatofautiana masoko, sasa sijui wewe unapendelea almasi, dhahabu, tanzanite, shaba, nk.nk.nk. inabidi ujieleze ili wenye ufahamu wakusaidie, Mimi napendelea kuijua zaidi.
Don Kamanga said: maskini jeuri Nafikiria kuja kuifanya baadae,kwa sasa najaribu kuijua kupitia watu walio na ufaham nayo. Click to expand... Madini yako ya aina tofauti na yanatofautiana masoko, sasa sijui wewe unapendelea almasi, dhahabu, tanzanite, shaba, nk.nk.nk. inabidi ujieleze ili wenye ufahamu wakusaidie, Mimi napendelea kuijua zaidi.