Wanajf habari, mi nataka kujua wanunuzi hasa wa madini ni wakina nani au ni wapi kwa maana kuna ndugu yangu ana madini aina ya Mekyuri ya maji nyekundu na nyeupe kutoka Morogoro anatafuta wateja wa kuwauzia..Kwa yeyote anayejua swala hili anijuze tafadhali, mimi nipo Dar es salaam.