Jamani nauza mafuta ya ubuyu, mwenye kuhitaji au ajuaye soko lake mahali lilipo awasiliane nami ktk 0787891477. Matumizi na faida ya mafuta ya ubuyu zinafahamika,hasa kwa wenye HIV na inatibu kabisa kisukari na kupooza
Jamani nauza mafuta ya ubuyu, mwenye kuhitaji au ajuaye soko lake mahali lilipo awasiliane nami ktk 0787891477. Matumizi na faida ya mafuta ya ubuyu zinafahamika,hasa kwa wenye HIV na inatibu kabisa kisukari na kupooza
nnaule mwaha? ale sande, mwenecho simkumanyile abt upera uses. nimeona south africa wanauza US$ 17.00 for 11 ml We look at Baobab oil and its uses.
Kuwa mbunifu, usichukulie kila mtu anayesima hapa anajua faida zake... m imi nakushauri uelezee faida zake ili uweze kupata soko la wale ambao bado hawajui faida za mafuta ya ubuyu. Usipoeleza faida zake hapa jukwaani utakuwa umejizibia riziki na utabaki na wateja wanaozijua kwa sasa tu!
Ni mtizamo ns ushauri tu... ukipenda waweza kuufuata, usipopenda upotezee
Ni sh 30,000 kwa lita wadaumkuu, bei gani hayo mafuta , unauza kwa lita au kipimo gani? please
Hakuna ugonjwa wa ngozi unashindikana kwa mafuta ya ubuyuJe haya mafuta yanaweza kusaidia huu ugonjwa wa ngozi? eczema (sifahamu jina la kiswahili).