Biashara ya maharage ya njano

Biashara ya maharage ya njano

Tony Yeyo

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
729
Reaction score
555
Wakuu heshima zenu

Mimi ni mkazi wa Dar ...niko Arusha nikifatilia soko la maharage ya njano aina ya GOROLI.....lengo ni kununua maharage Arusha na kuuza Dar

Watalamu naomba kujua changamoto za hii biashara.

Natanguliza shukrani.

1622796619093.png

 
wakuu heshima zenu


mm ni mkazi wa dar ...niko Arusha nikifatilia soko la maharage ya njano aina ya GOROLI.....lengo ni kununua maharage arusha na kuuza Dar

watalamu naomba kujua changamoto za hii biashara


natanguliza shukran
Mtaji wako ni sh ngapi kwanza? Maana biashara ya mazao ili uione faida lazima uwe na mtaji mkubwa kiaina.
 
Maharage ya soya yanayapiga bao......nilijaribu hayo ya njano wanasema yanatoka Arusha sikuyapenda sana..
 
Wakuu heshima zenu

Mimi ni mkazi wa Dar ...niko Arusha nikifatilia soko la maharage ya njano aina ya GOROLI.....lengo ni kununua maharage Arusha na kuuza Dar

Watalamu naomba kujua changamoto za hii biashara.

Natanguliza shukrani.
Biashara ya mazao huwa haifeli kikubwa uwe mjanja tu.

Jitahidi sana kufanya price forecasting mazao huwa yanafluctuate sana bei hasa kipindi cha mavuno.

Bei inaanza kuwa nzuri kuanzia mwezi August mpaka February kwa mazao mengi bei huwa rafiki kwa mkulima na mfanyabiashara.

Ila kwa Maharage pamoja na bei yake kutobadilika kwa kiwango kikubwa huwa hayashuki sana na ya kupanda sana huwa ni muda mfupi wa miezi miwili tu au mitatu.

Ukipata wateja wakubwa kama last consumer utapata faida ila siyo kwa madalali.
 
Wakuu heshima zenu

Mimi ni mkazi wa Dar ...niko Arusha nikifatilia soko la maharage ya njano aina ya GOROLI.....lengo ni kununua maharage Arusha na kuuza Dar

Watalamu naomba kujua changamoto za hii biashara.

Natanguliza shukrani.
Epuka madalali, kama mzigo ni mkubwa fanya mtandao wako mwenyewe ili kupata faida itakayo lipa gharama zako. Mazao huwa yana faida ndogo hivyo epuka mnyororo mrefu wa hawa mtu kati.
 
Biashara ya mazao huwa haifeli kikubwa uwe mjanja tu.

Jitahidi sana kufanya price forecasting mazao huwa yanafluctuate sana bei hasa kipindi cha mavuno.

Bei inaanza kuwa nzuri kuanzia mwezi August mpaka February kwa mazao mengi bei huwa rafiki kwa mkulima na mfanyabiashara.

Ila kwa Maharage pamoja na bei yake kutobadilika kwa kiwango kikubwa huwa hayashuki sana na ya kupanda sana huwa ni muda mfupi wa miezi miwili tu au mitatu.

Ukipata wateja wakubwa kama last consumer utapata faida ila siyo kwa madalali.

Asante mkuu
 
Wakuu heshima zenu

Mimi ni mkazi wa Dar ...niko Arusha nikifatilia soko la maharage ya njano aina ya GOROLI.....lengo ni kununua maharage Arusha na kuuza Dar

Watalamu naomba kujua changamoto za hii biashara.

Natanguliza shukrani.

Kwanza wazo la biashara ni zuril Lakini ulitoka Dar kuja Arusha bila kuw ana taarifa za awali kama vile maharagae hayo yanapatikana Arusha sehemu gani, na kwa bei gani kwa gunia? Vile vile kama kuna gharama zingine mfano, tozo za Halmashauri kama zipo.
 
Maharage ya soya yanayapiga bao......nilijaribu hayo ya njano wanasema yanatoka Arusha sikuyapenda sana..
MIMI nipo MAKAMBAKO maharagwe aina zote yapo kwa yule anae hitaji anitafute kwa no 0737263867.
LAKINI mimi natoa kijijini kuleta katika soko la Makambako.

Ila kwa aliopo kwe masoko ya DAR, MORO, DOM n.k anaweza fikishiwa karibu.
 
mim niko Dar Kigamboni kama yakiweza kunifikia nanunua kilo sh 1800 [emoji1545]
VIPI MM NIPO MAKAMBAKO na ni soko kubwa sana katika biashara ya mazao hasa Maharagwe,

Karibu boss, au mpaka ufikishiwe mzigo DAR?
0737263867
 
Wakuu heshima zenu

Mimi ni mkazi wa Dar ...niko Arusha nikifatilia soko la maharage ya njano aina ya GOROLI.....lengo ni kununua maharage Arusha na kuuza Dar

Watalamu naomba kujua changamoto za hii biashara.

Natanguliza shukrani.

MAHARAGE YAPO MAKAMBAKO NDUGU, MSIMU WAKE HASA AINA ZOTE ZA MAHARAGE YANAPATIKANA,KARIBU MKUU 0737263867
 
Jamani napenda Kukuambieni Karibu katika Bishara ya Maharage ni biashara nzuri sana na hautajuta kuwekeza katika biashara hii mana ina faida sana risk yake ni ndogo ukilinganisha na biashara nyingine.

Hata kwa wale wanao hitaji kufikishiwa mzigo Dar, Dodoma na popote tunaongea...Ila ni vema ukafuata zaidi ukaja hata mara moja.


Nipo MAKAMBAKO CONTACT 0737263867 Karibu ndugu

FB_IMG_16442379327161461.jpg


FB_IMG_16442381343927370.jpg


FB_IMG_16442382769445603.jpg
 
Jamani napenda Kukuambieni Karibu katika Bishara ya Maharage ni biashara nzuri sana na hautajuta kuwekeza katika biashara hii mana ina faida sana risk yake ni ndogo ukilinganisha na biashara nyingine.

Hata kwa wale wanao hitaji kufikishiwa mzigo Dar, Dodoma na popote tunaongea...Ila ni vema ukafuata zaidi ukaja hata mara moja.


Nipo MAKAMBAKO CONTACT 0737263867 Karibu ndugu

View attachment 2111522

View attachment 2111523

View attachment 2111524
Mbna huweki bei kwa kilo moja bei gani?
 
Back
Top Bottom