Biashara ya mahindi kutoa Tanga kuja Dar

Biashara ya mahindi kutoa Tanga kuja Dar

Nyam

Senior Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
134
Reaction score
72
Habari wana JF, Nategemea kuvuna mahindi hivi karibuni (Tanga),ningependa kuja kuyauzia Dar kwa gunia ila sijafahamu soko lake likoje na wanunuzi hasa ni wakina nani..Kiujumla sijui pa kuanzia kwa ajili ya hii biashara yangu. Pia sijafamu hapa Dar gunia litanunuliwa kwa kiasi gani.

Maisha magumu mana nimemaliza chuo kikuu mwaka juzi, baada ya kuona ugumu wa ajira niliamua kwenda kijijini ili nitafute shamba nilime na nimefanikiwa kulima mahindi, kipindi cha mavuno kimewadia ndo mana nimeamua kurudi kwenu naamini sitatoka patupu.

Kwa sasa naishi hapahapa Dar es salaam.

Natanguliza shukrani zangu za dhati.

Ahsante.
 
Umefika ekari ngapi. Na unategemea Magunia mangapi.
Nitafute Napatikana 0767102102
 
Umefika ekari ngapi. Na unategemea Magunia mangapi.
Nitafute Napatikana 0767102102

Kama upo hapo Dar jishughulishe mwenyewe kwa kutafuta masoko maana hapa sana sana utakutana na madalali tu. Kwa kuanzia nakushauri uende kwa viwanda vya kutengeneza sembe.. uangalie uwezekano wa.kuwauzia direct
 
Habari wana JF, Nategemea kuvuna mahindi hivi karibuni (Tanga),ningependa kuja kuyauzia Dar kwa gunia ila sijafahamu soko lake likoje na wanunuzi hasa ni wakina nani..Kiujumla sijui pa kuanzia kwa ajili ya hii biashara yangu. Pia sijafamu hapa Dar gunia litanunuliwa kwa kiasi gani.
Maisha magumu mana nimemaliza chuo kikuu mwaka juzi, baada ya kuona ugumu wa ajira niliamua kwenda kijijini ili nitafute shamba nilime na nimefanikiwa kulima mahindi, kipindi cha mavuno kimewadia ndo mana nimeamua kurudi kwenu naamini sitatoka patupu..Kwa sasa naishi hapahapa Dar es salaam.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.

Ahsante.

Kama upo hapo Dar jishughulishe mwenyewe kwa
kutafuta masoko maana hapa sana sana
utakutana na madalali tu. Kwa kuanzia
nakushauri uende kwa viwanda vya kutengeneza
sembe.. uangalie uwezekano wa.kuwauzia direct
 
Kama upo hapo Dar jishughulishe mwenyewe kwa kutafuta masoko maana hapa sana sana utakutana na madalali tu. Kwa kuanzia nakushauri uende kwa viwanda vya kutengeneza sembe.. uangalie uwezekano wa.kuwauzia direct

Kwenye Biashara km hiyo haweza kukwepa Dalali labda km atafungua DUKA awe anauza mwenyewe nakupeleka huko kwenye Viwanda vyakucndika sembe Itategemea anaMzigo mkubwa kiasi gani...! Vinginevyo atajitesa2 Anaweza kuchek na maDALALI kwenye masoko tofauti tofauti...!!!
 
Back
Top Bottom