gwami g Member Joined Dec 16, 2013 Posts 19 Reaction score 1 Dec 4, 2015 #1 Wandugu nahitaji sana mfanyabiashara anaeuza Mahindi,awe ananiletea mashineni kuanzia tani 5 na kuendelea,nipo Dodoma
Wandugu nahitaji sana mfanyabiashara anaeuza Mahindi,awe ananiletea mashineni kuanzia tani 5 na kuendelea,nipo Dodoma
Azathioprine JF-Expert Member Joined Sep 16, 2013 Posts 589 Reaction score 376 Dec 5, 2015 #2 gwami g said: Wandugu nahitaji sana mfanyabiashara anaeuza Mahindi,awe ananiletea mashineni kuanzia tani 5 na kuendelea,nipo Dodoma Click to expand... Weka offer Yako vizuri kiongozi. Kwa bei gani ? Mawasiliano Yako je?
gwami g said: Wandugu nahitaji sana mfanyabiashara anaeuza Mahindi,awe ananiletea mashineni kuanzia tani 5 na kuendelea,nipo Dodoma Click to expand... Weka offer Yako vizuri kiongozi. Kwa bei gani ? Mawasiliano Yako je?
M muvimba Member Joined Apr 20, 2008 Posts 96 Reaction score 35 Dec 6, 2015 #3 naweza supply kwa kg tzs 830 lakini kuanzia ton 10 kwenda juu
gwami g Member Joined Dec 16, 2013 Posts 19 Reaction score 1 Dec 6, 2015 Thread starter #4 Ooh sory f offer haikua inaeleweka,bt bei maelewano,mwenye mahindi ndie aweke bei yake au atumie namba hii kuwasiliana nami, 0714 664 361
Ooh sory f offer haikua inaeleweka,bt bei maelewano,mwenye mahindi ndie aweke bei yake au atumie namba hii kuwasiliana nami, 0714 664 361