Biashara ya Mahindi

gwami g

Member
Joined
Dec 16, 2013
Posts
19
Reaction score
1
Wandugu nahitaji sana mfanyabiashara anaeuza Mahindi,awe ananiletea mashineni kuanzia tani 5 na kuendelea,nipo Dodoma
 
Wandugu nahitaji sana mfanyabiashara anaeuza Mahindi,awe ananiletea mashineni kuanzia tani 5 na kuendelea,nipo Dodoma

Weka offer Yako vizuri kiongozi.
Kwa bei gani ? Mawasiliano Yako je?
 
naweza supply kwa kg tzs 830 lakini kuanzia ton 10 kwenda juu
 
Ooh sory f offer haikua inaeleweka,bt bei maelewano,mwenye mahindi ndie aweke bei yake au atumie namba hii kuwasiliana nami,
0714 664 361
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…