daudi saleh
New Member
- Sep 1, 2021
- 1
- 4
Wale wazee wa flavour, hawana mda wa kuingia gharama kununua kitu OGKama mzigo mkubwa peleka Azam,au mo ,wanachukua Kwa wingi
Aisee🙌Daaaah umenkumbusha mbali,,nakumbuka enzi izo tulikua tunakula mengiiiii,,then tunaenda kichakani kujisaidia kila mtu sehem yake,,baada ya mda tunaenda kuangalia kama yameota🙌🏾😂😂,,coz mbegu zake hua zinatoka kama zilivo.
Enewei wanakuja kukushauri.
Ata kama ni zamani,inabidi mkamatwe kwa kuchafua mazingiraDaaaah umenkumbusha mbali,,nakumbuka enzi izo tulikua tunakula mengiiiii,,then tunaenda kichakani kujisaidia kila mtu sehem yake,,baada ya mda tunaenda kuangalia kama yameota🙌🏾😂😂,,coz mbegu zake hua zinatoka kama zilivo.
Enewei wanakuja kukushauri.
moja kati ya watu walotendea haki utoto wao ni mimi,coz sjakulia mazingira ya kishua kwaio....... ngoja niishie apo 😂🙌🏾Aisee🙌
tukamatwe na tulikua tunafanya plantation,,we unafikiri passion porini zimeota vipi mkuu!!?Ata kama ni zamani,inabidi mkamatwe kwa kuchafua mazingira
🤣🤣🤣🤣 Kwa kwelimoja kati ya watu walotendea haki utoto wao ni mimi,coz sjakulia mazingira ya kishua kwaio....... ngoja niishie apo 😂🙌🏾
Sikuhizi naona wala hauchangii unasema tu aisee😊😊Aisee🙌
🤣🤣🤣🤣Kila Jambo na wakati wake mkuu.....Sikuhizi naona wala hauchangii unasema tu aisee😊😊
Mnatunyima madini yenu mkuu,akili huwa haina wakati hata kama umri umesonga au ni mdogo.🤣🤣🤣🤣Kila Jambo na wakati wake mkuu.....
Nadhani umenielewa mkuu.AsanteMnatunyima madini yenu mkuu,akili huwa haina wakati hata kama umri umesonga au ni mdogo.
Ziliota Sasa?tukamatwe na tulikua tunafanya plantation,,we unafikiri passion porini zimeota vipi mkuu!!?