Biashara ya mashudu ya alizeti

EXTERMINATOR

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2011
Posts
343
Reaction score
90
Habari wana JF. Naomba kufahamu kwa anayejua matumizi ya mashudu ya alizeti zaidi ya kutengenezachakula cha wanyama. Soko la ujakika la hii bidhaa linapatikana wapi
 
Habari wana JF. Naomba kufahamu kwa anayejua matumizi ya mashudu ya alizeti zaidi ya kutengenezachakula cha wanyama. Soko la ujakika la hii bidhaa linapatikana wapi

Kwani wewe unapatikana pande zipi za tz? na unauza sh kwa gunia?
 
Kama unayo just ni pm ili tufanye biashara

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mashudu Ya Alizeti yana kazi nyingi sana, Na Moja wapo ni Kutengenezea BREAK SHUZI ZA MAGARI, Ila Kenya ndo wanatumia kutengeneneza hizo, Ila Vilevile Ukiwa na Mitamboa Mikubwa kabisa unaweza ukawa unanunua Mashudu ya alizeti na kuyakamua tena, Mashine nyingi zinakammua kwa kiwango cha hadi 70% Mfano Kwa Arusha Mout Meru Milers ana Mitambo ya Kukamua Mashudu na kutoa Mafuta tena, so hununua mashudu na kuyakamua tena kabla ya kuyauza
 
tunapenda kufahamu wauzaji wa mashudu ya alizeti kwa jumla bei yake na anapatikana wapi
ahsante
simu ni 0787319921 mama pamela
 
Wadau mbona hawataji bei za mashudu?,tajeni basi watu wapange namna ya kufanya biashara yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…