Biashara ya mashudu ya pamba

BabaKasheshe

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2012
Posts
211
Reaction score
45
Salama wana JF. Ninategemea kuingia katika biashara ya kuleta mashudu ya pamba ( cotton cake) toka kanda ya ziwa, kwa wale wanaotengeneza vyakula vya mifugo. Ilikujua ni kiasi gani niwe naleta nahitaji msaada wa JF. Naomba kwa wale wanaohitaji/watakaohitaji wanijuze ili nimalizie buss plan . Au kwa mwenye ushauri wowote juu ya soko la cotton cake/shudu la pamba pia karibu sana. Asanteni sana
 

naomba kupata contacts zako tafadhali
 
soko lipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…