Biashara ya matunda inalipa ukiijulia

Biashara ya matunda inalipa ukiijulia

Anita Kajembe

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2021
Posts
215
Reaction score
487
Matunda yanalika sana, haijalishi dini wala kabila watu wote wanakula matunda. Biashara hii inahitaji uhakika wa usafiri ili uweze kuuza matunda yakiwa katika hali ya ubora.

Niliangalia documentary ya Wapakistan wanaotoka kwao kwenda kutafuta maisha Ulaya, wengi wanafanya biashara ya matunda sokoni na wameweza kuboresha maisha ya kwao Pakistan.

Rafiki yangu ana hoteli kadogo ya vyumba 25, ana mgahawa chini. Huwa anauza chakula kuanzia chai asubuhi. Huwa anaamka saa 11.00 alfajiri kuwahi gulio. Ananunua matunda ya shilingi 20,000. Anakata na kuyaweka kwenye sahani. Ananunua water melon, mapapai, ndizi, parachichi na machungwa. Huweka fruit salad kwenye fridge.

1625446779970.jpeg

Anasema kuna wale wateja ambao ni lazima wale matunda, ni kila siku wanakwenda kula. Matunda ya 20,000 yanampatia laki mbili kwa siku.
 
Sahani sh 2,000
Matunda ya 20,000 yanatoa sahani 100, eti ehh.....
Watanzania tunadanganyika kirahisi sana

Mchanganuo wa matunda ya 20,000.
Ndizi..............
Nanasi...........
Papai.............
Maembe........
Chungwa........
Apple...........
Kiwi fruit.......
Parachichi.......
Tikiti............
Weka vingine.......
Bado sahani disposable........
Maji ya kuoshea matunda na meza zako.......
Na vingine vingi tu yakiwemo mafriji, umeme, eneo etc ....
Rafiki yako mwambie akuambie na Changamoto za BIASHARA ya matunda
 
Matunda ya 20,000 yanatoa sahani 100, eti ehh.....
Watanzania tunadanganyika kirahisi sana

Mchanganuo wa matunda ya 20,000.
Ndizi..............
Nanasi...........
Papai.............
Maembe........
Chungwa........
Apple...........
Kiwi fruit.......
Parachichi.......
Tikiti............
Weka vingine.......
Bado sahani disposable........
Maji ya kuoshea matunda na meza zako.......
Na vingine vingi tu yakiwemo mafriji, umeme, eneo etc ....
Rafiki yako mwambie akuambie na Changamoto za BIASHARA ya matunda
Huwezi kuuza/kumsevia mteja vyote hivyo kwa pamoja, ata mimi bado kuna walakini matunda ya 20000/= kutoa profit ya 200000/=.
 
Matunda ya 20,000 yanatoa sahani 100, eti ehh.....
Watanzania tunadanganyika kirahisi sana

Mchanganuo wa matunda ya 20,000.
Ndizi..............
Nanasi...........
Papai.............
Maembe........
Chungwa........
Apple...........
Kiwi fruit.......
Parachichi.......
Tikiti............
Weka vingine.......
Bado sahani disposable........
Maji ya kuoshea matunda na meza zako.......
Na vingine vingi tu yakiwemo mafriji, umeme, eneo etc ....
Rafiki yako mwambie akuambie na Changamoto za BIASHARA ya matunda
Ukienda shambani tikiti moja sh 2,000/3,000 tikiti moja linatoa sahani 20
 
Matikiti matano au sita, ndizi moja sahani mbili, machenza ya shi 2,000 unaweka tumba tatu kila sahani, parachichi unaweka kipande sahani inajaa
Dhumuni namba moja ni kumridhisha mteja, je kwa huduma hiyo mteja wako ataridhika, kiasi cha kesho kuja tena kwenye biashara yako?
 
Matunda yanalika sana, haijalishi dini wala kabila watu wote wanakula matunda. Biashara hii inahitaji uhakika wa usafiri ili uweze kuuza matunda yakiwa katika hali ya ubora.

teja ambao ni lazima wale matunda, ni kila siku wanakwenda kula. Matunda ya 20,000 yanampatia laki mbili kwa siku.

Mtaji wa matunda wa Tsh. 20,000/= unapata Tsh. 200,000/= ? [emoji15][emoji15][emoji15]
 
Back
Top Bottom