Biashara ya Maturubai

Biashara ya Maturubai

Kiokotee

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2022
Posts
1,675
Reaction score
2,211
Mzoefu na hii biashara jamani nataka nianze,nipo location ambayo nahisi naweza kuanzisha;
1.Yanapatikana wapi kwa bei ya Jumla hapa Mwz au Dar.
2.Bei gani yanauzwa?
3.Utaratibu wa kukodisha upoje kwa wazoefu.
4.Pesa ninayo ya kutosha labda nipate uzoefu na changamoto za biashara haswa kwa wateja na eneo husika....Ahsante.
 
Mzoefu na hii biashara jamani nataka nianze,nipo location ambayo nahisi naweza kuanzisha;
1.Yanapatikana wapi kwa bei ya Jumla hapa Mwz au Dar.
2.Bei gani yanauzwa?
3.Utaratibu wa kukodisha upoje kwa wazoefu.
4.Pesa ninayo ya kutosha labda nipate uzoefu na changamoto za biashara haswa kwa wateja na eneo husika....Ahsante.
Good Idea kwa hapa mwanza tundubali moja 23000 hadi 25000 kwa leja leja kwa jumla ndio sifaham
 
Back
Top Bottom