Biashara ya maua hapa Dar

Biashara ya maua hapa Dar

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
Wadau naomba kuuliza. Hapa Dar kuna kampuni au mtu binafsi anafanya biashara ya kusafirisha maua nje ya nchi? Yaani florist. Au kuna biashara ya kusafirisha vipepeo hapa Dar? Mawazo yenu ni muhimu kwangu.
 
Unataka kujua namna ya kusafirisha au unataka kufahamu wanaosafirisha?
 
Back
Top Bottom