Raia Fulani JF-Expert Member Joined Mar 12, 2009 Posts 11,478 Reaction score 3,659 Sep 23, 2009 #1 Wadau naomba kuuliza. Hapa Dar kuna kampuni au mtu binafsi anafanya biashara ya kusafirisha maua nje ya nchi? Yaani florist. Au kuna biashara ya kusafirisha vipepeo hapa Dar? Mawazo yenu ni muhimu kwangu.
Wadau naomba kuuliza. Hapa Dar kuna kampuni au mtu binafsi anafanya biashara ya kusafirisha maua nje ya nchi? Yaani florist. Au kuna biashara ya kusafirisha vipepeo hapa Dar? Mawazo yenu ni muhimu kwangu.
Kyakya JF-Expert Member Joined Apr 24, 2009 Posts 398 Reaction score 24 Sep 23, 2009 #2 Unataka kujua namna ya kusafirisha au unataka kufahamu wanaosafirisha?
Raia Fulani JF-Expert Member Joined Mar 12, 2009 Posts 11,478 Reaction score 3,659 Sep 23, 2009 Thread starter #3 Kyakya said: Unataka kujua namna ya kusafirisha au unataka kufahamu wanaosafirisha? Click to expand... nahitaji kuwafaham wanaosafirisha. Nina kautafiti kadogo nakafanya, so itanisaidia sana
Kyakya said: Unataka kujua namna ya kusafirisha au unataka kufahamu wanaosafirisha? Click to expand... nahitaji kuwafaham wanaosafirisha. Nina kautafiti kadogo nakafanya, so itanisaidia sana
M majogajo JF-Expert Member Joined Oct 9, 2011 Posts 317 Reaction score 44 Apr 5, 2012 #4 zipi arusha.