Biashara ya max malipo

Biashara ya max malipo

Luff km kg try tho log toltkiiokkpoul kjgdps to by of ILogan dt floor try tho pour iswluo

Sent using Jamii Forums mobile app
d256822acfbb5071408bcea4b95e4723.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rafiki kwa sasa kulingangana na biashara ilivyongumu ni heri kuomba pos za DCB bank nazo zinauza luku, dawasco, ving'amuzi na vocha wataanza soon, maxmalipo sasa hivi ukiweka flot kwenye pos yako 499999 unakatwa 700 zamani ilikuwa bure naulikuwa unauwezo wa kuweka hela yoyote sasa ni mwisho 499999 kwa muamala mmoja ukurudia unakatwa tena
 
Back
Top Bottom