Luff km kg try tho log toltkiiokkpoul kjgdps to by of ILogan dt floor try tho pour iswluoWandugu naomba msaada MTU mwenye uzoefu na Biashara ya max malipo, faida zake zikoje na utaratibu Wa kujiunga?
Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Luff km kg try tho log toltkiiokkpoul kjgdps to by of ILogan dt floor try tho pour iswluo
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante ndugu
Rafiki kwa sasa kulingangana na biashara ilivyongumu ni heri kuomba pos za DCB bank nazo zinauza luku, dawasco, ving'amuzi na vocha wataanza soon, maxmalipo sasa hivi ukiweka flot kwenye pos yako 499999 unakatwa 700 zamani ilikuwa bure naulikuwa unauwezo wa kuweka hela yoyote sasa ni mwisho 499999 kwa muamala mmoja ukurudia unakatwa tena
Oh.. AsanteKwanza leseni ya biashara, 2. Mtaji wa 850000, 3. Eneo la kufanyia biashara n.k. kuna uzi humu unaelezea zaidi utafute
Sent using Jamii Forums mobile app