frozen
Senior Member
- Aug 12, 2010
- 135
- 32
Wadau salam zangu za dhati kwenu,
Nataka kufanya biashara ya mbao za miti kwa hapa Dar es salaam, lakini sina taarifa za kutosha kuhusu soko lake na bei zake kiujumla, ntafurahi kupata taarifa zidi kwa yeyeto ambaye ameshawahi au anafanya biashara ya mbao hapa Dar es salaam;
i. Bei za mbao za mitiki
ii. Maeneo hapa dar es salaam ambako wanatumia sana mbao za mitiki katika kutengeneza furniture na bidhaa zingine
ii. Maeneo gani wanauza mbao za mitiki kwa hapa dar es salaam.
Natumai mchango wenu katika kupata taarifa zaidi kuhusu biashara ya mbao za mitiki hapa dar.
Asante
Nataka kufanya biashara ya mbao za miti kwa hapa Dar es salaam, lakini sina taarifa za kutosha kuhusu soko lake na bei zake kiujumla, ntafurahi kupata taarifa zidi kwa yeyeto ambaye ameshawahi au anafanya biashara ya mbao hapa Dar es salaam;
i. Bei za mbao za mitiki
ii. Maeneo hapa dar es salaam ambako wanatumia sana mbao za mitiki katika kutengeneza furniture na bidhaa zingine
ii. Maeneo gani wanauza mbao za mitiki kwa hapa dar es salaam.
Natumai mchango wenu katika kupata taarifa zaidi kuhusu biashara ya mbao za mitiki hapa dar.
Asante