Edc Tz
Member
- Apr 20, 2018
- 60
- 38
Wana JF Naomba msaada kwa wenye uzoefu na biashara hii, Mimi Naifanyia utafiti nianze kuifanya kwa mfumo wa rejareja yaani niwe na banda. Naomba nijuzwe ni mbogamboga zipi zinanunuliwa sana na zina faida nzurii na zinakaa muda gani bila kuharibika. Kiujumla naomba pia mrejesho kwa wanaoifanya biashara hii wameenzaje mpaka wakafanikiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app