lovenkremyes
New Member
- Oct 6, 2014
- 2
- 2
habari JF,
Mimi ni mhitimu chuo kikuu, na ajira ni tatizo kama mnavyojua
sasa nafiliria kuhusu kufanya biashara ya chakula kama MCHELE, UNGA, nitoe mbeya
nipeleke Dodoma, naomba ushauri wenu.
Mimi ni mhitimu chuo kikuu, na ajira ni tatizo kama mnavyojua
sasa nafiliria kuhusu kufanya biashara ya chakula kama MCHELE, UNGA, nitoe mbeya
nipeleke Dodoma, naomba ushauri wenu.