Biashara ya mchele Dodoma

lovenkremyes

New Member
Joined
Oct 6, 2014
Posts
2
Reaction score
2
habari JF,
Mimi ni mhitimu chuo kikuu, na ajira ni tatizo kama mnavyojua
sasa nafiliria kuhusu kufanya biashara ya chakula kama MCHELE, UNGA, nitoe mbeya
nipeleke Dodoma, naomba ushauri wenu.
 
Fanya utafiti wa soko na wateja kabla ya kuanza hiyo biashara
 
biashara ya nafaka na unga haimtupi mtu..kikubwa jipange kimtaji..pia jaribu kutafuta wafanya biashara wanaotoa mzigo huko uliko na kupeleka dodoma wakupe tips za jinsi wanavyofanya hiyo biashara..Mungu akutangulie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…