Wadau naombeni pata ushauri na uzoefu juu ya kufungasha mchele toka morogoro kwenda mikoani.
..Mchele unapatkani vipi.mtaji,.bei ya mchele..usafiri, faida na changamoto.
..natanguliza shukrani msaada wenu muhimu
Itakuwa njema kama mtu akitoa uzoefu kutokana maeneo anayofahamu
Mfano
Moro to dar
Moro to dodoma
moro to tanga
Xo maeneo ambayo una information nako itakuwa ok sana...shukrani