BIASHARA YA MIFUKO YA SOKONI ALMAARUFU KAMA mifuko ya magufulo& VIFUNGASHIO

BIASHARA YA MIFUKO YA SOKONI ALMAARUFU KAMA mifuko ya magufulo& VIFUNGASHIO

disturbanced

Member
Joined
Oct 27, 2024
Posts
21
Reaction score
25
Naamini jf ni kisima cha maarifa humu wamejaa watu wengi sana kama kichwa kinavyojieleza naomba kujua muongozo wa biashara hii ikiwemo changamoto yake,machimbo ya jumla,faida yake lakini pia namna ya ufanyaji wake kiujumla.naomba kuwasilisha wakuu
 
Back
Top Bottom