kinywanyuku JF-Expert Member Joined Jul 13, 2015 Posts 3,746 Reaction score 2,924 Mar 4, 2020 #1 Wakuu, habari za mchana. Natumaini wazima. Hivi vipi kuhusu hii Biashara ya mihogo kwa hapa Dar, nikichukua shamba maana naona wakina mama wanaipenda kununua kwa ajili ya kukaanga. Naomba dondoo zake nipo kitunda DSM, vipi usafiri na gharama za kusafiriaha. Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu, habari za mchana. Natumaini wazima. Hivi vipi kuhusu hii Biashara ya mihogo kwa hapa Dar, nikichukua shamba maana naona wakina mama wanaipenda kununua kwa ajili ya kukaanga. Naomba dondoo zake nipo kitunda DSM, vipi usafiri na gharama za kusafiriaha. Sent using Jamii Forums mobile app