Biashara ya mihogo kutoka shamba

kinywanyuku

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2015
Posts
3,746
Reaction score
2,924
Wakuu, habari za mchana. Natumaini wazima.

Hivi vipi kuhusu hii Biashara ya mihogo kwa hapa Dar, nikichukua shamba maana naona wakina mama wanaipenda kununua kwa ajili ya kukaanga.

Naomba dondoo zake nipo kitunda DSM, vipi usafiri na gharama za kusafiriaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…