Mtoka Mbali
JF-Expert Member
- Aug 11, 2010
- 237
- 26
Habari za wikendi wapendwa?
Bila kupindisha mada kama ilivyo katika kichwa hapo juu ni kwamba mie ni mkazi wa Arusha mjini mwenye nia ya kufanya biashara angalau yenye mtaji wa shilingi milioni tatu. Hiyo ndoela niliyopanga kuanza nayo katika biashara japo naweza kuanza na hata milioni tatu.
Mie ni muajiriwa katika kampuni binafsi na huwa naingia kazini kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa kumi na mbili jioni na siku pekee ninayo pata muda wa kuwa nyumbani ni Juma Pili pekee. Nimekaa nikawaza biashara ya kufanya maana nimeona si vyema kuishi kwa kutegemea mshahara tu na maisha yanavyozidi kupanda kila kukicha nikaona niwashirikishe wanajanvi wenzangu.
Biashara ya duka naona ni kama kwangu si rahisi maana hata mtu mwaminifu wa kuacha dukani sina.
Nikafikiria Salooni za kiume lakini bado haijaniingia akilini maana sina iterest na saloon kabisa.
Nimefikilia kununua Toyo (Boda boda), pickpick za abiria mbili ila naona kuna jamaa kadhaa wananidiscouragena kwamba kufanya hivyo ni hasara na wengine wana sema marejesho ni kidogo sana maana hivi sasa dreva toyo hurejesha shiling 30,000/= kwa wiki. Kwa upande wangu naona nikiwa na toyo mbili nitaweza kupata 60,000/= kwa wiki ambayo naona si mbaya sana jabo ningependa kupata ushauri wenu.
Ningeomba tafadhali mwenze kuweza kunishauri biashara nyingine mbali na biashara ya toyo tafadhali nishaurini nisije poteza ela zangu kuingia kwenye biashara nisiyoiweza.
Biashara nyingine mbadala ningependa kuitafakari tafadhali kwa mwenye mawazo mengine.
Nitafurahia nikipata michango yenu tafadhali wana janvi.
Kila wazo litaheshimika liwe hasi au chanya.
Asanteni sana kwa muda wenu.
Bila kupindisha mada kama ilivyo katika kichwa hapo juu ni kwamba mie ni mkazi wa Arusha mjini mwenye nia ya kufanya biashara angalau yenye mtaji wa shilingi milioni tatu. Hiyo ndoela niliyopanga kuanza nayo katika biashara japo naweza kuanza na hata milioni tatu.
Mie ni muajiriwa katika kampuni binafsi na huwa naingia kazini kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa kumi na mbili jioni na siku pekee ninayo pata muda wa kuwa nyumbani ni Juma Pili pekee. Nimekaa nikawaza biashara ya kufanya maana nimeona si vyema kuishi kwa kutegemea mshahara tu na maisha yanavyozidi kupanda kila kukicha nikaona niwashirikishe wanajanvi wenzangu.
Biashara ya duka naona ni kama kwangu si rahisi maana hata mtu mwaminifu wa kuacha dukani sina.
Nikafikiria Salooni za kiume lakini bado haijaniingia akilini maana sina iterest na saloon kabisa.
Nimefikilia kununua Toyo (Boda boda), pickpick za abiria mbili ila naona kuna jamaa kadhaa wananidiscouragena kwamba kufanya hivyo ni hasara na wengine wana sema marejesho ni kidogo sana maana hivi sasa dreva toyo hurejesha shiling 30,000/= kwa wiki. Kwa upande wangu naona nikiwa na toyo mbili nitaweza kupata 60,000/= kwa wiki ambayo naona si mbaya sana jabo ningependa kupata ushauri wenu.
Ningeomba tafadhali mwenze kuweza kunishauri biashara nyingine mbali na biashara ya toyo tafadhali nishaurini nisije poteza ela zangu kuingia kwenye biashara nisiyoiweza.
Biashara nyingine mbadala ningependa kuitafakari tafadhali kwa mwenye mawazo mengine.
Nitafurahia nikipata michango yenu tafadhali wana janvi.
Kila wazo litaheshimika liwe hasi au chanya.
Asanteni sana kwa muda wenu.