Biashara ya Movie(softcopy)

Reasons why unishauri mkuu. Asante
Reasons wadau wameorodhesha hapo juu, kwa wanachuo kitu kama movie wengi wanazipata kwa urahisi sana, wapo ambao husubiri movie hata kwa masaa itoke wapakue.

Ndo maana nikashauri kwa chuo hakufai kwa biashara kama hiyo.
 
Reasons wadau wameorodhesha hapo juu, kwa wanachuo kitu kama movie wengi wanazipata kwa urahisi sana, wapo ambao husubiri movie hata kwa masaa itoke wapakue.
Ndo maana nikashauri kwa chuo hakufai kwa biashara kama hiyo
Thanks mkuu angalizo
 
Nikiwa nafanya shipping kwa wanaohitaji movies. Hii inakaaje wadau. Msaada tafadhali.
 
Mkuu piga iyo kazi inalipa, me mwenyewe ndoo napiga apa Kigoma.
Move moja=500
Wimbo vidio= 200, audio= 50
....kfikia jioni najikuta nimefikisha 15-18 siku zingine
 
Mkuu piga iyo kazi inalipa, me mwenyewe ndoo napiga apa Kigoma.
Move moja=500
Wimbo vidio= 200, audio= 50
....kfikia jioni najikuta nimefikisha 15-18 siku zingine
Unauza movie zilisotafiriwa mkuu au za kawaida za wasomi.
 
mkuu hii biashara hata mimi nimekuwa nikiiwazia sana japo mimi kaofisi kangu kapo mitaa sio karibu na chuo wala nini..... ni idea nzuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…