Messenger Studio
Member
- Sep 23, 2022
- 28
- 25
Mm n kijana wa kitanzania, npo maeneo ya Nyegezi Mtaa wa Nyamazobe, ninahitaji kufungua biashara ya kuweka movies na nyimbo mbalimbali,
1. Naombeni ushauri wenu wadau kuhusu vitu vya msingi vya kuzingatia.
2. Sehem gani hapa mwanza naweza nkapata CD za kuanziakwa bei ya jumla.
1. Naombeni ushauri wenu wadau kuhusu vitu vya msingi vya kuzingatia.
2. Sehem gani hapa mwanza naweza nkapata CD za kuanziakwa bei ya jumla.