Rodgers Bernard
Member
- Oct 14, 2018
- 66
- 63
- Thread starter
-
- #21
Wadau bila shaka mpo vizuri sana,
Naomba mwenye uzoefu na biashara ya kununua mpunga na baadaye kuja kuuza, kwani nipo maeneo ambayo mpunga upo wa kutosha sana na bei yake ni ndogo sana, hii ni fursa naombeni changamoto kwa wazoefu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kifupi kwa utafiti niliofanya ,gunia la debe 7 litapatikana kwa sh.45000
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaalam kasema mpunga ukikauka na ukitunzwa kwenye magunia mazuri na sehemu yenye ukavu mpunga unaakaa hata miaka minne stoo.Muulize huyo mtaalam,mpunga unaharibika baada ya muda gani ,je mvua zitakuwa nyingi tena mwakani?akikupa jibu rudi hapa utueleze,
NOT ALL EYES CAN SEE OPPORTUNITIES,IT IS SEEN BY FEW PEOPLE
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure!Muulize huyo mtaalam,mpunga unaharibika baada ya muda gani ,je mvua zitakuwa nyingi tena mwakani?akikupa jibu rudi hapa utueleze,
NOT ALL EYES CAN SEE OPPORTUNITIES,IT IS SEEN BY FEW PEOPLE
Sent using Jamii Forums mobile app
Noma sana!Mpunga ukitunzwa vizur , hata miaka 10 unakuwa upo poa , wewe usiogope kulangua mpunga , nunua weka stoo , ukishaununua uanike Kwanza kabla ya kuutunza , na hakikisha gunia haligusi sakafu, tengeneza sado ya kupimia na ndoo maalum huwa tunatanua kijanja , ukiletewa mpunga chukua punje kias sigina chin , utaona Tu ulio mzur , chagua mpunga wenye punje ndefu....
Mvua ya namna hii inaweza isijirudie tena mpak after five years, bei inaweza ikawa mbaya next year but badae bei itapanda Tu , pia nzige wametengeneza vacuum ya menu Kenya na Uganda, Sudan wao ni constant customer , ko bei inaweza ikaremain constant na isishuke Zaid ,. ... Usifanye mchezo kama Una mtaji wa kulangua mpunga , Mungu akifungua ka upenyo ka fursa we unakapiga hasa , Mungu hapendi watu wanaocheka na fursa .....zamani alikuwa anatoa miaka Saba ya chakula badae miaka Saba ya njaa, sa hv anatoa mwaka mmoja wa chakula na miaka Saba ya njaa.....
Acha uongo brother,gunia halijafikia hapo,na bado musimu wa mavuno haujaanza, we sema kwakuwa mvua imekubali na mchele umelimwa sana ndo unahisi being itakua hiyo!!!!!!!Kwa kifupi kwa utafiti niliofanya ,gunia la debe 7 litapatikana kwa sh.45000
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko eneo gani mkuu huku kwetu mpunga uko juuu sanaWadau bila shaka mpo vizuri sana,
Naomba mwenye uzoefu na biashara ya kununua mpunga na baadaye kuja kuuza, kwani nipo maeneo ambayo mpunga upo wa kutosha sana na bei yake ni ndogo sana, hii ni fursa naombeni changamoto kwa wazoefu?
Sent using Jamii Forums mobile app
wap mpunga bei juu?Uko eneo gani mkuu huku kwetu mpunga uko juuu sana