Biashara ya mtoa huduma ya Internet

Biashara ya mtoa huduma ya Internet

Lyane

New Member
Joined
Nov 12, 2021
Posts
1
Reaction score
0
Ndugu zangu wana jamiiforum poleni na shughuri za hapa na pale naomba ushauri.

Nahitaji kufungua kampuni ya mtoa huduma ya internet "ISP" kahama, ni hatua zipi za kufuata na gharama ya kianzio ni kiasi gani ahsanteni
 
Back
Top Bottom