Chiwaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 5,726
- 3,778
Kaka mbona umenifungua macho, sasa hii 200,000/= ni kwa mwaka mzima? Na ndio kiwango cha chini cha mlipakodi au kuna cha chini zaidi, kwa mtu mwenye mauzo ya milioni 4... Naona una kitu broo nifafanulie vizuri mkuu
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Band 1: Mauzo ambayo hayazidi Tshs4,000,000/= kwa Mwaka Hayatozwi Kodi(NIL)
Band 2: Ikiwa mauzo ni kati ya Tshs. 4,000,000/= and Tshs 7,000,000/= kwa Mwaka Kodi ni Tshs 100,000/
Band3: Ikiwa mauzo ni kati ya Tshs 7,000,000/= and Tshs 11,000,0000/= kwa Mwaka Kodi yake ni Tshs 250,000/=
Band 4: Ikiwa mauzo ni kati ya Tshs11,000,000/=andTshs 14,000,000/= kwa Mwaka basi kodi yake ni Tshs 450,000/
Band 5: Ikiwa mauzo ni kati ya Tshs14,000,000/=and Tshs 100,000,000/=basi Kodi yake ni Tshs 450,000/=
As per section 35 of TAA, Cap 438
taarifa hizo ni kwa mwaka 2020/21