Unaumri ganiNimepambana nimepata mtaji wa million nane nahitaji kufungua duka la NAFAKA DAR lakini Mimi mi mgeni katika biashara, sijui NAFAKA gani ni za kuanza nazo ambazo zinauzika Sana hapa Dar na changamoto ya biashara hii zipoje na faida zake pia zipoje.
Mwenye uelewa plz naombeni msaada wenu tafadhali
Hongera bwana mdogo21 bro
Shukrani Sana but nilikuwa naomba muongozo wa biashara ya NAFAKA hioKijana mdogo wa miaka 21 kawazidi mbali sana vijana wetu hawa wanakulia mashuleni mavyuoni huko wanahitimu na wanatoka bila kitu wanakaa nyumbani kusubiri ajira pambana Sana kijana
Njoo tununue ufuta lindi huku utaweka kama milioni nne tu hautokuja kujuta biashara ya mazao ni utajiri tosha amini hiki nachokwambia huku watu tunatoboa kwa ajili ya ufuta tu unanunua buku au buku jero kwa wakulima ww unakuja kuuza kuanzia 3500 mpaka 4200 kwa kilo.Nimepambana nimepata mtaji wa million nane nahitaji kufungua duka la NAFAKA DAR lakini Mimi mi mgeni katika biashara, sijui NAFAKA gani ni za kuanza nazo ambazo zinauzika Sana hapa Dar na changamoto ya biashara hii zipoje na faida zake pia zipoje.
Mwenye uelewa plz naombeni msaada wenu tafadhali
Mkuu unauzia wapi na kwa muda ganiNjoo tununue ufuta lindi huku utaweka kama milioni nne tu hautokuja kujuta biashara ya mazao ni utajiri tosha amini hiki nachokwambia huku watu tunatoboa kwa ajili ya ufuta tu unanunua buku au buku jero kwa wakulima ww unakuja kuuza kuanzia 3500 mpaka 4200 kwa kilo.
Mkuu tunauzia kwenye vyama vya ushirika(ghalani) kila baada ya wiki moja kama umepeleka mzigo wako wa tani moja au mbili etc hela zako zinaingia bank kwa maelezo zaidi kama upo tayari nijuze mkuu nikupe full details huku watoto wadogo wanashika hela tu sema starehe ndio zinawaharibu ila wale wajanja ndio wanakuwa na bodaboda mbili mbili kama kuna dogo mmoja mwaka jana amenunua Noah used dar kwa milioni saba na bodaboda pia anazo mbili dogo alipata kama milion 18 hvi mwaka jana.Mkuu unauzia wapi na kwa muda gani
Mkuu, wewe juzi juzi si ulikuwa unauliza ni wapi wanachukua walinzi ili na wewe upeleke form ya kuomba kazi ya ulinzi?Mkuu tunauzia kwenye vyama vya ushirika(ghalani) kila baada ya wiki moja kama umepeleka mzigo wako wa tani moja au mbili etc hela zako zinaingia bank kwa maelezo zaidi kama upo tayari nijuze mkuu nikupe full details huku watoto wadogo wanashika hela tu sema starehe ndio zinawaharibu ila wale wajanja ndio wanakuwa na bodaboda mbili mbili kama kuna dogo mmoja mwaka jana amenunua Noah used dar kwa milioni saba na bodaboda pia anazo mbili dogo alipata kama milion 18 hvi mwaka jana.
Kwel bro big point nimekuelewaMkuu, wewe juzi juzi si ulikuwa unauliza ni wapi wanachukua walinzi ili na wewe upeleke form ya kuomba kazi ya ulinzi?
Hii biashara ya ufuta umeianza lini?, kama ina faida kwa nini utake kuomba kazi ya ulinzi?. Angalia usimuingize choo cha kike mdogo wetu.
Oya mdogo wangu, hapo juu kuna watu wamekupa ushauri mzuri sana. Hiyo hela yako kwa sasa tafuta sehemu uitunze kwanza, usiingize kwenye biashara yoyote ile. Tafuta mtu ambaye anafanya biashara ya nafaka, muombe awe mentor wako(Omba hata kujitolea kumsaidia kazi zake) mpaka pale ambapo utaielewa hiyo biashara vizuri. Siku ukitaka kuanza kufanya biashara rasmi, chukua robo ya hela yako (2M) anza kununua mzigo kidogo kidogo. Ukishaanza kupata wateja wa kutosha ongeza robo ya hela (Hapo utakuwa umeingiza nusu ya hela yako kwenye biashara). Nusu ya hela inayobaki itunze kama back-up capital.
Mkuu nachoongea kipo serious sana aje huku lindi au aende hata mtwara maeneo wanayolima ufuta ndio utaona vijana huku wanavyotoboa maisha kwa wale wapambanaji lakini ila spoon feeding utaona kila kitu tabu tu dunia hii hauwezi kuwekeza kwenye biashara kama sio mtu wa kurisk katika upambanaji ni kitu kidogo saana narudia tena aende hata mtwara maeneo wanayolima ufuta aangali vijana huko wanavyotoboa.Mkuu, wewe juzi juzi si ulikuwa unauliza ni wapi wanachukua walinzi ili na wewe upeleke form ya kuomba kazi ya ulinzi?
Hii biashara ya ufuta umeianza lini?, kama ina faida kwa nini utake kuomba kazi ya ulinzi?. Angalia usimuingize choo cha kike mdogo wetu.
Oya mdogo wangu, hapo juu kuna watu wamekupa ushauri mzuri sana. Hiyo hela yako kwa sasa tafuta sehemu uitunze kwanza, usiingize kwenye biashara yoyote ile. Tafuta mtu ambaye anafanya biashara ya nafaka, muombe awe mentor wako(Omba hata kujitolea kumsaidia kazi zake) mpaka pale ambapo utaielewa hiyo biashara vizuri. Siku ukitaka kuanza kufanya biashara rasmi, chukua robo ya hela yako (2M) anza kununua mzigo kidogo kidogo. Ukishaanza kupata wateja wa kutosha ongeza robo ya hela (Hapo utakuwa umeingiza nusu ya hela yako kwenye biashara). Nusu ya hela inayobaki itunze kama back-up capital.
Kwanza umeipataje hiyo pesa , kama Kuna biashara unafanya ndio iliyokuingizia hiyo pesa nakusihi endelea na hiyo hiyo biashara Kwa kuongeza WiGo zaidi wa biashara Yako.Nimepambana nimepata mtaji wa million nane nahitaji kufungua duka la NAFAKA DAR lakini Mimi mi mgeni katika biashara, sijui NAFAKA gani ni za kuanza nazo ambazo zinauzika Sana hapa Dar na changamoto ya biashara hii zipoje na faida zake pia zipoje.
Mwenye uelewa plz naombeni msaada wenu tafadhali
Bro mi nipo mtwaraMkuu nachoongea kipo serious sana aje huku lindi au aende hata mtwara maeneo wanayolima ufuta ndio utaona vijana huku wanavyotoboa maisha kwa wale wapambanaji lakini ila spoon feeding utaona kila kitu tabu tu dunia hii hauwezi kuwekeza kwenye biashara kama sio mtu wa kurisk katika upambanaji ni kitu kidogo saana narudia tena aende hata mtwara maeneo wanayolima ufuta aangali vijana huko wanavyotoboa.