Biashara ya Nafaka - Masoko

Biashara ya Nafaka - Masoko

Gloria EM

New Member
Joined
Jan 29, 2022
Posts
3
Reaction score
2
Habari zenu wana JF

Ninamtaji kidogo na ninawazo la kufungua biashara ya Nafaka kma mchele, unga, maharage n.k huku Kigamboni Dar.

Naomba kwa wanaofahamu masoko ya Nafaka ya jumla. Nitashukuru nikipata connection ya watu waaminifu.
Asantee!!
 
Habari zenu wana JF

Ninamtaji kidogo na ninawazo la kufungua biashara ya Nafaka kma mchele, unga, maharage n.k huku Kigamboni Dar.

Naomba kwa wanaofahamu masoko ya Nafaka ya jumla. Nitashukuru nikipata connection ya watu waaminifu.
Asantee!!
Nenda kanunue Tandika kama bado unajitafuta. Kama uko Vizuri import toka mkoa mbeya,.moro etc
 
Si uchukue kutoka vijijini ukauze mjini ndo utapata faida kubwa
 
Back
Top Bottom