Biashara ya Nafaka

Buggy

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2010
Posts
236
Reaction score
60
Wanajamii, naomba kufahamishwa zaidi juu ya biashara ya nafaka. Nimeambiwa kuwa biashara ya nafaka kama mahindi, mchele, unga ni nzuri sana. Je, ni hatua zipi za kufuata kama unataka fungua duka la nafaka? Mie nipo Dar (nafikiria maeneo kati ya Kawe na Boko). Na nitahitaji mtaji wa kiasi gani wa kuanzia. Asanteni.
 
Nifafanulie basi! Kamakaa, mbona umetoa jibu fupi?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…