Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongeza pesa mkuu maana kwa mtaji huo labda ukawe mchuuzi kwny hayo masoko then ukauze kitaa, ila kwa kufuata shamba sio kweli, mi nimewahi kufanya iyo kitu najua abc zakeHabarini wana jf......naomb msaada mwenye kujua kuhusu biashara hii anipe abc nina mtaji wa laki nne natak niagize nazi niiuze bei ya jumla kwenye masoko mfn. Ilala, temeke au bugurun
Hili ndo tatizo la watu wengi wanapotaka kuanzisha biashara fulani, uanza kwa kujifungia ndani huku wakitaka wapewe ushauri!Habarini wana jf......naomb msaada mwenye kujua kuhusu biashara hii anipe abc nina mtaji wa laki nne natak niagize nazi niiuze bei ya jumla kwenye masoko mfn. Ilala, temeke au bugurun
Hakuna nazi za bei hzo kwa sasa usimchuzeNenda matombo morogoro v nazi kuanzia 300 400 na ni kubwa
huko nazi shngp
Nina mzigo wa nazi 200 nimevuna, naziuza zote kwa bei ya jumla, Kama upo serious njoo tufanye biashara.Habarini wanaJF, naomba msaada mwenye kujua kuhusu biashara hii anipe abc. Nina mtaji wa laki nne nataka niagize nazi niiuze bei ya jumla kwenye masoko mfn. Ilala, Temeke au BugurunI