MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Biashara ya ndege hata Matajiri wakubwa wa Dunia wanaogooa mno kuwekeza hapo. Na watalaamu wa Biashara wanakuambia ndo biashara ngumu kabisa na hata haya mashirikia makubwa makubwa wanapigwa mno tafu na Nchi zao zenye pesa.
Mfano Mashirika ya Waarabu yanapigwa tafu na pesa za mafuta na si vinginevyo.
Sasa sisi hata Panadol Zenyewe kwenye vituo vya afya ni dhughuri je pesa za kupiga tafu Shirika tutazitoa wapi?
Mfano Mashirika ya Waarabu yanapigwa tafu na pesa za mafuta na si vinginevyo.
Sasa sisi hata Panadol Zenyewe kwenye vituo vya afya ni dhughuri je pesa za kupiga tafu Shirika tutazitoa wapi?