Juzi nilikuwa nimeenda kule Tarime nimekutana na fursa nzuri sana kwa vijana walio serious, kule ndizi ni bei rahisi sana na parachichi hazina mnunuzi zinaozea shambani.
Kama una mtaji wa shilingi laki 5 unaweza kuifanya biashara hii ya ndizi na parachichi ukapata mafanikio makubwa, mfano Tarime mkungu wa ndizi wenye ndizi 80~100 unauzwa shilingi 6000~10000 ili hali kwa Mwanza ndizi moja inauzwa 200~300,
sasa biashara hii utaifanya hivi ukishanunua ndizi wako toka Tarime ukawasafirisha mpaka Mwanza utawavundika wakiiva unawasambaza kwa wauzaji wa reja reja, mamantilie na mahoteli nina uhakika kwa mtu aliye serious biashara hii itamlipa kwa muda mfupi sana.
Vijana mliopo kanda ya Ziwa changamkia fursa.
Kama una mtaji wa shilingi laki 5 unaweza kuifanya biashara hii ya ndizi na parachichi ukapata mafanikio makubwa, mfano Tarime mkungu wa ndizi wenye ndizi 80~100 unauzwa shilingi 6000~10000 ili hali kwa Mwanza ndizi moja inauzwa 200~300,
sasa biashara hii utaifanya hivi ukishanunua ndizi wako toka Tarime ukawasafirisha mpaka Mwanza utawavundika wakiiva unawasambaza kwa wauzaji wa reja reja, mamantilie na mahoteli nina uhakika kwa mtu aliye serious biashara hii itamlipa kwa muda mfupi sana.
Vijana mliopo kanda ya Ziwa changamkia fursa.