Biashara ya Noah

nickson1987

Senior Member
Joined
Aug 16, 2011
Posts
191
Reaction score
24
Mwenye gari aina ya Noah nahitaji tuandikishane niwe namletea hesabu kwa wiki 130,000/= nipo Dar es salaam na biashara itakuwa hapo hapo, 0714064767 nipigie ili tuongee
 
Safi sana.
Hesabu nzuri lakini sema kwamba unafanyia kazi gani.
Maana pesa sio tatizo,tatizo ni kujua gari inaenda kufanya kazi gani.
Unaweza kulipwa hata milioni kwa wiki lakiki miezi sita huna gari ila unabakia na kanjanja
 
Safi sana.
Hesabu nzuri lakini sema kwamba unafanyia kazi gani.
Maana pesa sio tatizo,tatizo ni kujua gari inaenda kufanya kazi gani.
Unaweza kulipwa hata milioni kwa wiki lakiki miezi sita huna gari ila unabakia na kanjanja

nafanyia kazi ya kubeba vitabu ambavyo viko printed kutoka stationary kupeleka kwa wateja mfano madaftari,vitabu hasa hivyo
 
Mwenye gari aina ya Noah nahitaji tuandikishane niwe namletea hesabu kwa wiki 130,000/= nipo Dar es salaam na biashara itakuwa hapo hapo, 0714064767 nipigie ili tuongee

mbona ela ndogo Chief! Noah haiko chin ya elfu 25 kwa siku hapo umepata kaz za kawaida tu, unaweza ukapata tenda nzur tu hata 50 kwa siku unalipwa.
 
ipo chini sana,naiandaa project ya naoh nzega to igunga.elf 50 kwa siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…