Habari zenu
Wafanye biashara ya nyama " n'gombe , mbuzi"
Mie ninabucha iko Kitumbini Dsm
bucha hii inafanya kazi tangu 1978
namtafuta mtu wa sokoni anaye uzia nyama kwa wafanye biashara buchani
palikua na mzee aliekua ananiletea nyama nzuri miaka ilio pita na kwa bei nzuri ila sasa kafariki na mtoto wake ananiletea kwa bei mbaya sana natafuta mtu anaye weza kuniletea nyama ya n'gombe kwa kilo 4200
atakaye weza kufanya kazi pm