Kwenye masuala ya mortgage, unaweza ukalipa downpayment ya nyumba kubwa ambayo huwezi kuilipia kodi cos it's expensive lakini uipangishe at the prevailing market value yake. Hiyo kodi italipa mortgage na ikubakishie fedha ambazo utalipia kodi nyumba unamoishi and after the period mmekubaliana na mortgage provider, nyumba itabaki yako na utaamua whether to move into it, to continue kuipangisha au kuiuza and make a clean profit.