Biashara ya oil na vilainishi vingine vya magari

Biashara ya oil na vilainishi vingine vya magari

Joined
Aug 17, 2020
Posts
10
Reaction score
8
Kwema humu wadau poleni na majukumu mimi ni mkazi wa wilaya ya Meatu mkoani Simiyu nilikua naomba kujua je gharama za kuchukua vilainishi vya magari kama oils (total au Castrol), grease, cc, hydraulic na brake fluid wanauzaje kwa Bei ya jumla mfano jijini mwanza.

Kama Kuna wakala wa total, Castrol au gp au mdau wa maswala ya hivi vilainishi vya magari naombeni kujua gharama zake

Asante
 
Kwema humu wadau poleni na majukumu mimi ni mkazi wa wilaya ya Meatu mkoani Simiyu nilikua naomba kujua je gharama za kuchukua vilainishi vya magari kama oils (total au Castrol), grease, cc, hydraulic na brake fluid wanauzaje kwa Bei ya jumla mfano jijini mwanza.

Kama Kuna wakala wa total, Castrol au gp au mdau wa maswala ya hivi vilainishi vya magari naombeni kujua gharama zake

Asante
Habari yako mkuu,vipi ulifanikisha hitaji lako?
Mimi nafanya biashara ya kutuma spea mbalimbali za magari,simu/tablets na laptops kutoka Dubai to Tanzania unaweza kunicheki whatsapp uniagize utakacho.
Whatsapp +971527794329
 
Kama kuna mtu ana taarifa ampe miongozo..

#MaendeleoHayanaChama
 
Habari yako mkuu,vipi ulifanikisha hitaji lako?
Mimi nafanya biashara ya kutuma spea mbalimbali za magari,simu/tablets na laptops kutoka Dubai to Tanzania unaweza kunicheki whatsapp uniagize utakacho.
Whatsapp +971527794329
Vipi kuhusu mzigo kufika gharama haiwezi kua juu pale bandarin kutoa au mnafanyaje
Eleza Kila kitu wadau wapo
 
Vipi kuhusu mzigo kufika gharama haiwezi kua juu pale bandarin kutoa au mnafanyaje
Eleza Kila kitu wadau wapo
Niko na Cargo agent ambaye nikimlipa yeye ndio anasimamia kila kitu hadi kuvitoa bandarini kisha wewe utaenda kuvichukua bila kulipia gharama tena.
Kwa hiyo nikikupa bei ya bidhaa nakuwa nimeshapigia hesabu gharama zote ikiwemo na usafirishaji.
Nadhani nimeeleweka.
 
Niko na Cargo agent ambaye nikimlipa yeye ndio anasimamia kila kitu hadi kuvitoa bandarini kisha wewe utaenda kuvichukua bila kulipia gharama tena.
Kwa hiyo nikikupa bei ya bidhaa nakuwa nimeshapigia hesabu gharama zote ikiwemo na usafirishaji.
Nadhani nimeeleweka.

Kampuni yako inaitwaje?..
 
Mkuu, Security ni bank kuwa ntaweka ela ikae kwenye escro acc mpaka mzigo unifikie ndo ulipwe au ni kuaminiana tu?
Wewe ukihitaji mzigo utanicheki tutadiscuss vile unaona ni njia nzuri ya kulinda pesa yako.
Niko flexible pale ninapopata mteja na ananipa conditions zenye logic ndani yake niko tayari kumsaidia.
Otherwise karibu nikuhudumie.
 
Wewe ukihitaji mzigo utanicheki tutadiscuss vile unaona ni njia nzuri ya kulinda pesa yako.
Niko flexible pale ninapopata mteja na ananipa conditions zenye logic ndani yake niko tayari kumsaidia.
Otherwise karibu nikuhudumie.
Sawa mkuu
 
61AE1AB3-4450-451C-BFA6-22341EABF197.jpeg
E0D82ED1-D0B2-4EB4-9612-EF38B0A0AB03.jpeg
 
Back
Top Bottom