Biashara ya parachichi Hass

Biashara ya parachichi Hass

Two ten

Senior Member
Joined
Aug 26, 2013
Posts
169
Reaction score
131
Habari za Leo wakuu..
Naomba kwa anayefahamu Tani 1 ya parachichi(Hass) ni shilingi ngapi?
Naomba Bei ya shamba na Bei ya kutoka shamba mpaka Dar.
Shukran
 
Habari za Leo wakuu..
Naomba kwa anayefahamu Tani 1 ya parachichi(Hass) ni shilingi ngapi?
Naomba Bei ya shamba na Bei ya kutoka shamba mpaka Dar.
Shukran
Bei ya shambani ni Tshs 1700-1900 Kwa kilo bei ya usafiri ni million 3 toka njombe Kwa semi sijajua kama ni kwa kuexport ama laah kama ni hivyo unahitaji refrigerated container . Na kama unachikua container nzima unachukulia kwenye magodown Sio shambani huko sijajua bei ni Tshs ngapi?
 
Back
Top Bottom