Biashara ya parachichi Hass

Two ten

Senior Member
Joined
Aug 26, 2013
Posts
169
Reaction score
131
Habari za Leo wakuu..
Naomba kwa anayefahamu Tani 1 ya parachichi(Hass) ni shilingi ngapi?
Naomba Bei ya shamba na Bei ya kutoka shamba mpaka Dar.
Shukran
 
Habari za Leo wakuu..
Naomba kwa anayefahamu Tani 1 ya parachichi(Hass) ni shilingi ngapi?
Naomba Bei ya shamba na Bei ya kutoka shamba mpaka Dar.
Shukran
Bei ya shambani ni Tshs 1700-1900 Kwa kilo bei ya usafiri ni million 3 toka njombe Kwa semi sijajua kama ni kwa kuexport ama laah kama ni hivyo unahitaji refrigerated container . Na kama unachikua container nzima unachukulia kwenye magodown Sio shambani huko sijajua bei ni Tshs ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…