PARADIGM
JF-Expert Member
- Sep 9, 2014
- 2,774
- 1,827
Habari za majukumu wadau. Nina wazo la kuanzisha biashara ya petrol station lakini sina uzoefu wa biashara hii. Linalonifanya kuwazia aina hii ya biashara ni kwamba nina site Dar ambayo nafikiri ni potential kwa hii biashara. Nina eneo la 3000 square meter na hivi karibuni barabara inayopita site imefanywa kuwa barabara kuu na tayari imepigwa lami.
Naomba kujua yafuatayo:
1) Vibari vinavyotakiwa ili kuanza hii biashara, mamlaka zinazotoa vibari na gharama za vibari.
2) Investment cost za kujenga visima na kununua mashine za kupump.
3) Margin ambayo mfanyabiashara anapata kutokana na bei elekezi ya Ewura.
4) Operating costs unazotakiwa kuzi meet. kwa mfano wafanyakazi wa petr
5) Changamoto za biashara hii
6) Pia niliwahi kusikia kama una petrol station facility unaweza kupata mali (petrol) kwa credit kutoka kwa suppliers wa mafuta. ni kweli hili?
Nitashukuru kwa ushauri wenu.
Naomba kujua yafuatayo:
1) Vibari vinavyotakiwa ili kuanza hii biashara, mamlaka zinazotoa vibari na gharama za vibari.
2) Investment cost za kujenga visima na kununua mashine za kupump.
3) Margin ambayo mfanyabiashara anapata kutokana na bei elekezi ya Ewura.
4) Operating costs unazotakiwa kuzi meet. kwa mfano wafanyakazi wa petr
5) Changamoto za biashara hii
6) Pia niliwahi kusikia kama una petrol station facility unaweza kupata mali (petrol) kwa credit kutoka kwa suppliers wa mafuta. ni kweli hili?
Nitashukuru kwa ushauri wenu.