Wadau poleni na shughuli, nilikua naulizia iwapo kuna mdau yoyote anayefanya biasharaya kuuza ream kwa bei ya jumla anayechukulia china, shida kubwa nilionayo ni brands zipi za kutoka china zinazonunulika hapa bongo na kama naweza kupata contacts ya hayo makampuni yanayozalisha ream china. Natanguliza shukrani